• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

MARAFIKI WA ELIMU WAWASILISHA TAARIFA YA UFUATILIAJI WA MAKUZI YA AWALI YA MTOTO KWA WADAU WA ELIMU KILWA.

Posted on: April 28th, 2025


Marafiki wa Elimu Wilayani Kilwa wamefanya kikao na wadau wa Elimu Wilayani humo lengo ikiwa ni kuwasilisha taarifa ya ufuatiliaji wa uwajibikaji wa jamii katika malezi ya makuzi ya Awali ya Watoto, uliofanya na Kikosi kazi cha Marafiki wa Elimu kilifutilia uelewa na uwajibikaji wa jamii katika malezi ,makuzi na Maendeleo ya awali ya Mtoto katika Wilaya ya Kilwa katika kata Nne ambazo ni Kivinje,Masoko, Miteja na Tingi. Hatua hii itasaidia kujenga hamasa na uelewa wa makuzi na malezi bora kwa mtoto.


Kikao Hicho kimefanyika Tarehe 28/03/2025 katika Ukumbi wa Sultani Kilwa Masoko ambapo kikosi kazi cha ufuatiliaji kimesema utafiti huo  umefanyika katika  Ngazi ya Shule za Awali mfano kwa Wamiliki wa Vituo vya kulelea Watoto mchana, Zahanati, Vituo vya Afya na Wazazi, hii imesaidia kupata uelewa namna jamii inashiriki katika utekelezaji wa Program Jumuishi ya Taifa ya Malezi,Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto (MMMAM)


Akiwasilisha taarifa hiyo mratibu wa kikosi hicho Ndg. George Kamota amesema kuna changamoto ya uelewa katika jamii juu ya malezi na makuzi ya awali ya Mtoto katika Nyanja mbalimbali ikiwemo lishe bora kwa Watoto wenye umri wa miaka (0-8), ulinzi na Usalama wa mtoto  mfano katika Usafiri wa  watoto wadogo waendapo Shuleni kwa kutumia usafiri Kamavile usafiri Pikipiki


Mapendekezo yao juu ya Changamoto hizo ni wananchi wapewe Elimu juu ya Umuhimu wa Lishe kwa Watoto ili waweze kujifunza na kupunguza udumavu, Ulinzi na Usalama wa watoto upewe kipaumbele juu ya kuwafundisha Watoto kujilinda na ukatili, pia Vyombo vya usafiri waendesha pikipiki wazingatie usalama wa watoto wadogo.


Hata hivyo Ndg. Swahaba Matajiri akimuwakilisha Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa amewahasa wadau wa Elimu waliohudhuria kikao hicho kuieleimisha jamii juu ya kushirikiana katika malezi ya Mtoto kwa pamoja bila kubaguana. Kama kauli isemayo “ Mtoto wa mwenzio muone kama Mtoto wako

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI LINDI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA USHIRIKI WA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KUJIFUNZA

    June 22, 2025
  • WADAU MBALIMBALI KATIKA BANDA LA MKOA WA LINDI KWENYE MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA DODOMA

    June 21, 2025
  • MADIWANI KILWA WAAGWA KWA HAFLA YA HESHIMA

    June 19, 2025
  • HONGERA HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA KWA KUPATA HATI SAFI YA CAG

    June 19, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa