• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira (RUWASA) Wilaya wamejipanga kuhakikisha wanatatua changamoto ya upatikanaji wa maji Wilayani Kilwa

Posted on: August 4th, 2023

Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira (RUWASA) Wilaya wamejipanga kuhakikisha wanatatua changamoto ya upatikanaji wa maji Wilayani Kilwa ikiwemo uchimbaji wa visima virefu, uwekaji wa matenki katika vijiji vyenye changamoto ya maji


Hayo yamezungumzwa na Meneja wa RUWASA Wilayani humo Eng.Ramadhan Mabula alipokuwa akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa ujenzi wa miradi ya Maji katika maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo kilichofanyika katika ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri wa wilaya hiyo, ambapo amesema kuwa kwa sasa takribani ya Vijiji 62 kati ya vijiji 94 vilivyopo wilayani humo vinapata huduma ya maji safi na salama


Aidha Mabula amesema kuwa Wilaya inauhitaji wa Lita za maji 12,187,380 hata hivyo hadi sasa wamefanikiwa kusambaza Lita 7,617,112.5 na uwekaji wa mtandao wa Mabomba ya maji yenye 133Km ambapo kuna upungufu wa Lita 4,570,267.5 kwa Wilaya nzima, Hivyo takwimu hizo zinafanya 63.7% ya Wananchi wanapata maji safi na salama kwa sehemu za mjini na vijijini.


Hata hivyo, Meneja huyo amesema kuwa Bajeti ya mwaka 2023\2024 ambayo ni 2.7B itasaidia kutatua changamoto ya upatikanaji wa maji katika vijiji mbalimbali vya Wilaya hiyo ikiwemo Nakiu,Kisimamkika,Zingakibaoni,Kinjumbi,Pandeplot n.k


Vilevile,amewasistiza watumiaji wa maji ambao ni wateja kulipa bili za maji kwa wakati ili kufanikisha zaidi huduma ya upatikanaji wa maji kwa maeneo mengine ambayo hayana maji kabisa

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Ndg. Hanan Bafagih amempongeza Meneja wa RUWASA kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuhakikisha Wananchi wote wilayani humo wanapata huduma ya maji safi na salama


Aidha,amemshukuru Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa fedha nyingi anazotenga kwa ajili ya kutatua changamoto yam aji kwa wananchi hususani katika suala la kumtua ndoo Mama kichwani.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAKALA APONGEZA JITIHADA ZA KURUDISHA MAWASILIANO SOMANGA

    April 10, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Mkono wa Eid kwa watoto wenye mahitaji Maalum Shule ya Msingi Mtanga Wilayani Kilwa.

    March 31, 2025
  • IDARA YA MAENDELEO YA JAMII YATOA MSAADA WA TELEVISHENI KWA GEREZA LA KILWA MASOKO

    April 28, 2025
  • MARAFIKI WA ELIMU WAWASILISHA TAARIFA YA UFUATILIAJI WA MAKUZI YA AWALI YA MTOTO KWA WADAU WA ELIMU KILWA.

    April 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa