• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

maji kupatikana kwa asilimia mia Kilwa

Posted on: December 8th, 2018

Naibu waziri wa maji na umwagiliaji Mhe. Jumaa Aweso ameuagiza uongozi wa Bonde la Ruvuma na Pwani ya Kusini kufika na kufanya utafiti wa chanzo cha Maji kwa ajili ya kuchimba Kisima kitakacho saidia kuongeza upatikanaji wa Maji mjini Kilwa.

Agizo hilo amelitoa leo Disemba 8 wilayani Kilwa alipokuwa akihitimisha ziara ya siku moja wilayani humo baada ya kutembelea   miradi mbalimbali ya maji.

Aweso amesema wizara ya Maji imejipanga kuhakikisha inatekeleza kwa vitendo ilani ya Chama cha mapinduzi  ya kuhakikisha maji yanapatikana kwa asilimia themanini na tano vijijini na  tisini na tano mjini  ifikapo mwaka 2020 na kuwataka wakandarasi kuhakikisha wanafanya kazi kwa ubora wa hali ya juu na kukamilisha miradi kwa wakati.

Amesema katika kuhakikisha tatizo la maji linakoma Mjini Kilwa wizara ya maji inatekeleza miradi katika Miji ishirini na sita ikiwemo Kilwa kupitia fedha za mkopo nafuu kutoka nchini  india.

Aidha amewataka wakurugenzi watendaji kuwalipa wakandarasi kwa wakati pindi wapokeapo pesa kutoka wizarani.

Aweso amesema kuna baadhi ya wakurugenzi wamekuwa wakichelewesha malipo kwa wakandarasi baada ya kukamilisha miradi.

“Hata maandiko yanasema asiyefanya kazi na asile lakini kama mtu akifanya kazi ni haki yake kula, sasa kama mkandarasi amemeliza kazi yake kwanini asilipwe pesa yake kwa kazi ailiyofanya” alisisitiza Aweso

Kwa upande wake mkuu wa wilaya ya Kilwa Mhe. Christopher Ngubiagai amewatahadharisha wananchi wanao ihujumu miradi ya maji kwa kufanya uharibifu kwa kukata mabomba na kuiba koki katika sehemu za kukingia maji kuacha mara moja.

Nguniagai amesema watafanya oparesheni maalumu katika vijiji vyote ambavyo vimekuwa vikiharibu miundo mbinu kwa makusudi na kuwachukulia hatua za kisheria wahusika wote.

Awali akitoa taarifa kwa Naibu waziri wa Maji na umwagiliaji Meneja wa Mamlaka ya maji Kilwa masoko Mhandisi Issa Banda amesema kwa sasa Mamlaka ya maji mji wa kilwa inazlisha maji Mitakyubiki 934 mpaka mitakyubiki 1500 kwa siku na mahitaji halisi ni 2270 mpaka 2600.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BANDARI YA UVUVI KILWA KUKAMILIKA MWEZI JUNI 2025

    May 08, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI

    May 07, 2025
  • KILWA YAPIGA HATUA KATIKA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

    May 06, 2025
  • WANANCHI, WANAFUNZI NA WATUMISHI KILWA WAJITOKEZA KWA MAZOEZI YA PAMOJA UWANJA WA MWENGE/TAIFA

    May 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa