• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WASAIDIZI NGAZI YA KATA JIMBO LA KILWA KASKAZINI NA KILWA KUSINI YAHITIMISHWA RASMI

Posted on: August 6th, 2025

Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu Jimbo ya Kilwa Kaskazini na Kilwa Kusini, Ndg. Shija Lyella, leo tarehe 06 Agosti 2025 ametamatisha rasmi mafunzo ya Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya kata. Mafunzo haya yamefanyika katika Chuo cha Maendeleo ya Wananchi (FDC), Kilwa Masoko na yamehusisha jumla ya kata 23 kutoka katika majimbo hayo mawili.


Kwa muda wa siku tatu, washiriki wa mafunzo hayo wamepitia mada mbalimbali zinazolenga kuwajengea uwezo katika kusimamia uchaguzi kwa mujibu wa sheria, kanuni, miongozo na maadili ya uchaguzi nchini. Mafunzo yamejikita zaidi katika kuimarisha uelewa wa kiutendaji, kusimamia haki na kuhakikisha uwazi katika kila hatua ya mchakato wa uchaguzi.


Ndg. Lyella, akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo, amewapongeza wasimamizi kwa ushiriki mzuri na umakini waliouonesha katika kipindi chote cha mafunzo. Amesisitiza kuwa mafanikio ya uchaguzi hutegemea kwa kiasi kikubwa utayari wa wasimamizi wa uchaguzi katika kutekeleza wajibu wao kwa uadilifu, uaminifu na kwa kuzingatia maslahi ya Taifa.


Pamoja na mafunzo, wasimamizi hao wamepokea vifaa muhimu kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu yao katika kata wanazohudumu, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025.


Aidha, Ndg. Lyella amewakumbusha wasimamizi kuhusu viapo vya uaminifu walivyokula akisisitiza kuwa ni viapo vya kisheria vinavyowataka kutunza siri, kuwa waadilifu na kutotanguliza maslahi binafsi katika utekelezaji wa majukumu yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KILWA DC YAANZA KWA KISHINDO SHIMISEMITA

    August 16, 2025
  • MTANDAO WA BMU WAELEZA FAIDA ZA ZIARA YA MAFUNZO MKOANI TANGA

    August 15, 2025
  • DED NA TIMU YA UFUATILIAJI KILWA WAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

    August 14, 2025
  • KAMATI ZA MAANDALIZI YA SHEREHE ZA MAJIMAJI KILWA ZAKUTANA KUJADILI MAANDALIZI YA SHEREHE HIZO

    August 13, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa