• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Madiwani wapitisha mpango wa matumizi ya Ardhi

Posted on: June 13th, 2018

Kilwa,

Baraza la madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa limepitisha Mpango wa matumizi ya Ardhi kwa vijiji vya Kikole, Kisangi,Mitole, na Kipindimbi pamoja na Sheria ndogo za kusimamia Mpango huo.

Uamuzi huo umefikiwa baada ya uchambuzi na maelezo ya kina kutoka kwa Timu ya matumizi  ya Ardhi wilaya ya kilwa kwa kushirikiana na Tume ya Taifa ya mipango na matumizi ya ardhi na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi katika kikao maalumu cha Baraza la Madiwani kilichokaa Juni 13 kujadili mpango huo katika ukumbi wa Jumba la maendeleo Mjini Kilwa Masoko.

 Baraza limesema limeridhia na kupitisha mpango na kuruhusu uendelee kwa hatua inayofuata 

Mmoja wa wawezeshaji kutoka Timu ya matumizi  ya Ardhi akifafanua jambo kwa Waheshimiwa Madiwani na wakuu wa Idara wakati wa uwasilishaji wa mpango wa matumizi ya Ardhi kwa vijiji vya Kisangi, Mitole,Kipindimbi na Kikole katika baraza la madiwani lililo fanyika katika  ukumbi wa jumba la maenedeleo kilwa masoko (Picha: Ally Ruambo

Wakizungumza kwa nyakati tofauti Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya kilwa Bw. Zablon Bugingo na Mwenyekiti wa kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira Halmashauri ya wilaya ya Kilwa Mhe. Msati wameishukuru na kuipoongeza timu iliyofanikisha kukamilika kwa mpango huo licha ya kukumbana na changamoto mbalimbali.

“Ukisikiliza maelezo yao jinsi walivyopambana kufanikisha mpango huu hakuna neno la ziada unaloweza kuwapa zaidi ya Hongera, kwa mujibu ya maelezo yao moja ya changamoto ambayo waliyokutana nayo ni kunaswa kwa mmoja wao katika mtego ambao ulitegwa kwa ajili ya kumnasa Nyati sasa unaweza kuona ugumu wa kazi ulivyokuwa” alisema Bugingo.

Madiwani na wakuu wa Idara wakifuatilia kwa umakini  wa uwasilishwaji wa mpango wa matumizi ya Ardhi kwa vijiji vya Kisangi, Mitole,Kipindimbi na Kikole katika kikao kilichofanyika  fanyika katika  ukumbi wa jumba la maenedeleo kilwa masoko (Picha: Ally Ruambo).

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WANAWAKE KATA YA TINGI WAANDAA DUA MAALUM KUMUOMBEA MHE. RAIS SAMIA

    June 08, 2025
  • DC KILWA AITAKA JAMII KUDHIBITI UTUMIAJI WA PLASTIKI ILI KUYALINDA MAZINGIRA.

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAKIMBIZWA KILOMETA 173 NA KUTEMBELEA MIRADI 13 YENYE THAMANI YA TSH BILIONI 11 WILAYANI KILWA.

    May 31, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI ZAHANATI YA NJINJO KILWA.

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa