• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

LINDI YANDELEZA UBABE MASHINDANO UMITASHUMTA 2019

Posted on: June 27th, 2019

LINDI YANDELEZA UBABE MASHINDANO UMITASHUMTA 2019

Na David Langa-Mtwara

Timu za mkoa wa Lindi zinazoshiriki mashindano ya shule za msing kitaifa mwaka 2019 mkoani Mtwara zimeendeleza ushindi mkubwa dhidi ya timu pinzani.

Ikiwa ni siku ya tatu ya mashindano hayo , leo Timu za Mkoa wa Lindi zimeshinda kwa Kishindo katika michezo sita huku wakipata suluhu katika mchezo mmoja wa mpira wa miguu wavulana dhidi ya timu kutoka makoa wa Simiyu.

Michezo iliyochezwa leo ni mpira wa pete (Netball) dhidi ya Dodoma ambapo timu ya ya Mkoa wa Lindi iliichapa timu ya Dodoma magoli 20 kwa 11, mchezo mwingine ni mikono (Handball) dhidi ya Tabora ambapo Tabora ilichapwa goli tisa(9) kwa tano(5).

Michezo mingine ya siku ya leo ni mpira wa mikono (Handball) dhidi ya mkoa wa Kagera iliyomalizika kwa timu ya Mkoa wa Lindi kuichabanga timu ya Kagera jumla ya goli 13 kwa moja, huku katika mchezo wao mpira wa miguu kwa wasichana dhidi ya timu ya Ruvuma ikimalizika kwa ushindi wa jumla ya goli tano kwa sifuri.

Michezo hiyo inayoendea katika viwanja vya chuo cha ualimu Mtwara inajumuhisha timu kutoka mikoa yote ya Tanzania Bara.

Ushindi wa timu za Mkoa wa Lindi umechagizwa na maandalizi mazuri pamoja na hamasa kubwa wanayoipata wachezaji kutoka kwa viongozi wao kuanzia wakurugenzi, maafisa Elimu wa Wilaya zote pamoja na uongozi ngazi ya Mkoa ukiongozwa na Mkuu wa Mkoa Lindi Mhe.Godfrey Zambi.

Mwalimu wa mpira wa miguu wa Mkoa wa Lindi Mwl.Hamisi amethibitisha uwezo mkubwa wa timu yake na kuahidi ushindi mkubwa kwa mechi zijazo.

Naye Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi Bi.Rehema Madenge na Msaidizi wake Dr.Bora Haule wameendelea kutoa hamasa kwa walezi wa timu zote ikiwa ni pamoja na motisha kwa wachezaji katika kila mechi wanayoshinda jambo ambalo limengeza hari ya ushindi kwa timu zote.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BANDARI YA UVUVI KILWA KUKAMILIKA MWEZI JUNI 2025

    May 08, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI

    May 07, 2025
  • KILWA YAPIGA HATUA KATIKA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

    May 06, 2025
  • WANANCHI, WANAFUNZI NA WATUMISHI KILWA WAJITOKEZA KWA MAZOEZI YA PAMOJA UWANJA WA MWENGE/TAIFA

    May 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa