• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

KITONGOJI CHA MIEMBE MIWILI CHAPOKEA MILIONI 10 KUENDELEZA UJENZI WA UWANJA WA MWENGE (TAIFA) KILWA MASOKO.

Posted on: March 22nd, 2025


Uongozi wa Kitongoji cha Miembe Miwili na Wataalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa umefanya Mkutano wa Kijiji kujadili juu ya Maendeleo Ujenzi wa Uwanja wa Michezo unaojulikana kwa jina la Uwanja wa Mwenge (Taifa) kupitia Fedha za Mfuko wa Jimbo Milioni10 zilizoingizwa hivi karibuni.


Mkutano huo umefanyika Tarehe 21/03/2025 katika Uwanja wa Mwenge (Taifa) ambapo Viongozi na Wataalam hao wamekutana na Wananchi ili kujadili namna ya kuendesha Ujenzi wa Uwanja huo kwa kuunda kamati ya Wataalamu na Wajumbe wa mkutano huo watakao simamia ujenzi, hii ni mara baada ya kuingia kwa fedha za Mfuko wa Jimbo Shilingi Milioni 10 kwaajiri ya kuendeleza ujenzi wa Uwanja huo.


Akizungumza katika Mkutano huo Diwani Kata ya Masoko Mhe. Haji Chijinga Ameishukuru serikali ya Awamu ya Sita kuwaingizia fedha katika utekelezaji wa Miradi Mbalimbali ikiwemo wa Ujenzi wa Uwanja wa Mwenge (Taifa), huku akizitaka Kamati za Wataalamu na Wajumbe zilizoundwa katika Mkutano huo kushrikiana kuhakikisha mradi huo unakamilika na fedha hizo zinatumika vizuri.


Kwa Upande Wake Afisa Utamaduni Sanaa na Michezo Wilaya ya Kilwa Bi. Veneranda Maro ametoa rai kwa wananchi kushirikiana na Viongozi katika kuulinda uwanja wa Mwenge (Taifa) kwa maslai mapana ya vijana wanaotumia uwanja huo katika kuibua Vipaji vyao kimichezo ili waweze kufika malengo yao.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAKALA APONGEZA JITIHADA ZA KURUDISHA MAWASILIANO SOMANGA

    April 10, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Mkono wa Eid kwa watoto wenye mahitaji Maalum Shule ya Msingi Mtanga Wilayani Kilwa.

    March 31, 2025
  • IDARA YA MAENDELEO YA JAMII YATOA MSAADA WA TELEVISHENI KWA GEREZA LA KILWA MASOKO

    April 28, 2025
  • MARAFIKI WA ELIMU WAWASILISHA TAARIFA YA UFUATILIAJI WA MAKUZI YA AWALI YA MTOTO KWA WADAU WA ELIMU KILWA.

    April 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa