• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Kilwa yatekeleza agizo la kutumia Mifumo Hospitalini

Posted on: August 3rd, 2018

Kilwa,

Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa imeendelea kutekeleza agizo la Waziri wa nchi ofisi ya Rais (Tamisemi) Mhe. Seleman Jafo la kutumia Mfumo wa taifa wa kuhifadhi taarifa Hospitalini GoTHoMIS katika haspitali na vituo vya afya Nchini.

Akizungumza baada ya kukamilika kwa ufungaji wa Mfumo huo katika Kituo cha afya Masoko, Afisa Tehama kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi Ndg. Denis Venance  ambaye ndiye msimamizi wa zoezi hilo  amesema zoezi la ufungaji Mfumo limekamilika na umeanza kutumika  rasmi katika kutoa huduma kwa Wanachi.

“Jumatatu tulianza kufanya installation katika sever kubwa, tuliweka dawa katika mfumo, tuliweka procedure, vipomo vyote  na tuli set price.

Jumanne na jumatano tukafanya mafunzo kwa watumishi juu ya matumizi ya mfumo huu na jana Alhamisi tulimalliza mafunzo na kuanza rasmi matumizi ya mfumo” alisema Denis.

Denis amewatoa hofu Wananchi juu ya matumizi ya mfumo, amesema watumishi wamepatiwa mafunzo ya  kutosha juu ya matumizi ya mfumo na kuahidi kuimarika kwa huduma.

“Kama nilivyo tangulia kusema kuwa kuanzia Jumanne hadi jana tulikuwa tunafanya mafunzo juu ya matumizi ya mfumo kwahiyo watumishi wameuelewa na kuanzia sasa wategemee mabadiliko” alisema Denis

Denis amebainisha mabadiliko yatakayopatikana kutokana na mfumo huo ni pamoja na kuongezeka kwa mapato baada ya kudhibiti mianya yote kupoteza mapato,upatikananji wa takwimu sahihi za wagonjwa , matumizi ya dawa na nyinginezo nyingi.

Aidha amewataka watumishi kufanya mazoezi ya mara kwa mara ya kuutumia mfumo ili kuwaongezea kasi na ufanisi katika kutekeleza majukumu yao.

Kwa upande wake Mganga Mfawidhi Kituo cha afya Masoko Dokta Daudi Selemani ameshukuru wadau wote ambao wamefanikisha kukamilika kwa zoezi hilo ikiwemo kampuni ya gesi ya Songas pamoja na Mradi wa uimarishaji  mifumo ya sekta za umma( ps3) kwa ushirikiano wao hadi kukamilika kwa zoezi hilo.

Aidha amewataka Wananchi kuwa wavumilivu katika kipindi hiki cha mpito ambapo kituo kina badili mfumo  wa utoaji huduma kutoka Analojia kwenda Digitali.

“Tunaomba Wananchi wawe wavumilivu katika kipindi hiki kwani spidi ya huduma itapungua kidogo kutokana na matumizi ya mfumo lakini tumejipanga kuhakikisha huduma zinaendelea kwa spidi ile ile na nina imani ndani ya wiki ijayo kila kitu kitakuwa sawa” alihitimisha Dokta Daudi.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAKALA APONGEZA JITIHADA ZA KURUDISHA MAWASILIANO SOMANGA

    April 10, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Mkono wa Eid kwa watoto wenye mahitaji Maalum Shule ya Msingi Mtanga Wilayani Kilwa.

    March 31, 2025
  • IDARA YA MAENDELEO YA JAMII YATOA MSAADA WA TELEVISHENI KWA GEREZA LA KILWA MASOKO

    April 28, 2025
  • MARAFIKI WA ELIMU WAWASILISHA TAARIFA YA UFUATILIAJI WA MAKUZI YA AWALI YA MTOTO KWA WADAU WA ELIMU KILWA.

    April 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa