• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

KILWA YAPOKEA PIKIPIKI 11 KWA AJILI YA CHANJO NA HUDUMA MBALIMBALI ZA MIFUGO.

Posted on: July 11th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa imepokea pikipiki 11 kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa ajili ya kuimarisha huduma za ugani na utekelezaji wa Kampeni ya Chanjo na Utambuzi wa Mifugo.

Akizungumza wakati wa kukabidhi pikipiki hizo kwa Maafisa Mifugo wa ngazi ya kata, Mkuu wa Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Ndg. Shija Lyella, kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri, alitoa shukrani kwa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kuwapatia pikipiki hizo ambazo zitasaidia kurahisisha utoaji wa huduma za ugani wilayani Kilwa.

Aidha, Ndg. Lyella aliwataka Maafisa Mifugo kuhakikisha matumizi sahihi ya pikipiki hizo kwa kazi zilizokusudiwa. “Pikipiki hizi zisitumike kama bodaboda, bali zitumike kwa ajili ya kutoa huduma za mifugo,” alisisitiza.

Pikipiki hizo ni sehemu ya mgao wa kitaifa wa pikipiki 700 zilizotolewa kwa Maafisa Mifugo ngazi ya wilaya na kata nchini, ikiwa ni mkakati wa Serikali kuwafikia wafugaji walioko vijijini kwa urahisi zaidi na kutoa huduma bora za afya ya mifugo.

Katika mgao huu, pikipiki zimegawiwa kwa maeneo ya Somanga (2), Kikole (1), Likawage (1), Mitole (1), Mandawa (1), Njinjo (1), Kivinje (2), Makao Makuu ya Idara ya Mifugo (1), na Mratibu wa Kampeni ya Chanjo na Utambuzi (1).

Kupatikana kwa vitendea kazi hivi ni hatua muhimu katika utekelezaji wa kampeni iliyoanzishwa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 16 Juni 2025, Bariadi–Simiyu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BARAZA LA BIASHARA KILWA KUIBUA FURSA MPYA ZA UWEKEZAJI KUPITIA BANDARI YA UVUVI.

    October 08, 2025
  • MPR WAENDELEA KUSISITIZA UHIFADHI WA RASILIMALI ZA BAHARI KILWA

    October 08, 2025
  • TAASISI YA UMOJA PAMOJA YAENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA MICHEZO KWA VIJANA KILWA

    October 07, 2025
  • ZIMEBAKI SIKU 22 KUELEKEA UCHAGUZI MKUU WA 2025

    October 07, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • Situs Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto Slot
  • DORA77
  • Toto Slot
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • NABITOTO
  • AERO88
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • NABITOTO
  • KOI200
  • DANATOTO
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • situs slot
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto