• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Kilwa yaishukuru Ps3

Posted on: May 24th, 2018

Kilwa,

Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa imeushukuru Mradi wa uimarishaji  mifumo ya sekta za umma (Ps3) kwa misaada inayoendelea kuipatia.

Akitoa   shukrani  kwa  niaba ya Halmashauri wakati wa makabidhiano ya vifaa vya kiufundi  kwa ajili ya maafisa Tehama kutoka Mradi wa uimarishaji  mifumo ya sekta za umma, Kaimu Mkurugenzi Bw. Sylivester Mashema emesema Halmashauri inashukuru kwa misaada inayoendelea kutolewa  na Mradi.

“Halmashauri inaushukuru mradi kwa kuendelea kuwa nasi bega kwa bega katika kuhakikisha mifumo tunayotumia ina imarika na inaleta tija kwa umma, na tunaomba muendelee na moyo huo kwani Halmashauri bado inategemea mengi kutoka kwenu” alisema Mashema.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa Ndg. Sylivester Mashema (Kulia) akipokea Begi la vifaa vya kiufundi kutoka kwa Meneja wa Mradi wa uimarishaji mifumo ya sekta za umma Mkoa wa Lindi Bw. Aloyce Mwasuka ofisini kwake Mjini Kilwa Masoko (Picha: Ally Ruambo)

Nae Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) Ndg. Yusuph Rajabu amesema anashukuru mradi kwa msaada wa vifaa kwani vitaongeza chachu ya ufanyaji kazi na kuahidi kuvitumia kwa uangalizi wa hali ya juu ili viweze kudumu kwa muda mrefu.

“Kabla tulikua na changamoto kidogo ya upungufu wa baadhi ya vifaa katika utendaji kazi wetu wa  kila siku, kwa vifaa hivi vitasaidia sana kupunguza changamoto na kuongeza ufanisi katika kazi zetu na tuta vitunza zaidi ya mboni za macho yetu ili viweze kudumu na kutumika kwa muda mrefu” alisema Yusuph.

Kwa upande wake Meneja wa Mradi wa uimarishaji mifumo ya sekta za umma Mkoa wa Lindi Bw. Aloyce Mwasuka amewata maafisa Tehama kuvitumia vifaa hivyo katika kuimarisha mifumo ili ilete matokea chanya kama mradi ulivyokusudia.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KILWA DC YAANZA KWA KISHINDO SHIMISEMITA

    August 16, 2025
  • MTANDAO WA BMU WAELEZA FAIDA ZA ZIARA YA MAFUNZO MKOANI TANGA

    August 15, 2025
  • DED NA TIMU YA UFUATILIAJI KILWA WAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

    August 14, 2025
  • KAMATI ZA MAANDALIZI YA SHEREHE ZA MAJIMAJI KILWA ZAKUTANA KUJADILI MAANDALIZI YA SHEREHE HIZO

    August 13, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa