• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi Atembelea Kilwa

Posted on: December 20th, 2017

     Kilwa,

  Katibu tawala mkoa wa lindi Bw.  Ramadhani Kaswa amewataka viongozi na wanakamati kuhakikisha ujenzi wa majengo katika kituo cha afya masoko unakamilika katika muda uliopangwa.

Ameyasema hayo alipokua wilayani Kilwa katika ziara ya kukagua miradi mbalimbali ambayo inatekelezwa  wilayani hapo.

Bw. Kaswa amewataka viongozi na wanakamati kuhakikisha majengo hayo yanakamilika katika muda uliopangwa ili yaanze kutumika kwa kutoa huduma iliokusudiwa kwa jamii ya watu wa Kilwa na viunga vyake.


Katibu tawala mkoa wa Lindi Bw. Ramadhani Kaswa wa pili kutoka kulia akikagua Bati ambazo zinatumika katika ujenzi katika Kituo cha Afya Masoko

Majengo ambayo yanajengwa kituoni hapo ni pamoja na Nyumba ya mtumishi, chumba cha kuhifadhia maiti, mfumo wa uvunaji maji ya mvua, kichomea taka na mengineyo huku fedha zitakazo baki zitatumika katika ukarabati wa baadhi ya maeneo hospitalini hapo.

 Ujenzi huo ni utekelezwaji wa dhamira ya dhati ya Mheshimiwa Rais Dk.John Pombe Magufuli  ya kusogeza na kutoa huduma bora za afya kwa wananchi.

Akiwa wilayani Kilwa Bw. Kaswa alitembelea miradi mbalimbali ya kimaendeleo ikiwemo mradi wa uoteshaji wa miche ya mikorosho ya kisasa, mradi ambao unasimamiwa na halmashauri ya wilaya ya Kilwa pamoja na kufanya mazungumzo na watumishi na wadau mbalimbali.

 Mkurugenzi mtendaji Halmashauri ya wilaya ya Kilwa Bw. Zablon I. Bugingo (kulia) akitoa maelezo kwa juu ya mradi wa uoteshaji wa miche ya mikorosho ya kisasa, mradi ambao unasimamiwa na halmashauri ya wilaya ya Kilwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KILWA DC YAANZA KWA KISHINDO SHIMISEMITA

    August 16, 2025
  • MTANDAO WA BMU WAELEZA FAIDA ZA ZIARA YA MAFUNZO MKOANI TANGA

    August 15, 2025
  • DED NA TIMU YA UFUATILIAJI KILWA WAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

    August 14, 2025
  • KAMATI ZA MAANDALIZI YA SHEREHE ZA MAJIMAJI KILWA ZAKUTANA KUJADILI MAANDALIZI YA SHEREHE HIZO

    August 13, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa