• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

KATIBU MKUU OR-TAMISEMI ATOA WITO KWA HALMASHAURI ZINGINE KUJIFUNZA KUTOKA KILWA

Posted on: July 5th, 2019

KATIBU MKUU OR-TAMISEMI ATOA WITO KWA  HALMASHAURI ZINGINE KUJIFUNZA KUTOKA KILWA

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Eng.Joseph Nyamhanga amezitaka halmashauri zote nchini kuiga mgfano wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi kwa kujenga madarasa katika shule za sekondari kwa kutumia fedha za ndani ya Halmashauri zao.Katibu Mkuu Eng.Nyamhanga ameyasema hayo alipotembelea shule ya sekondari ya Mtanda iliopo Wilaya ya Kilwa ambapo ndani ya miezi mitatu halmashauri hiyo imeweza kujenga jumla ya madarasa 17 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni mia tatu(300mil) ikiwa ni katika kukabiliana na upungufu wa madarasa uliojitokeza baada ya wanafunzi wengi waliomaliza elimu ya msingi mwaka 2018 kuchaguliwa kujiunga na elimu ya sekondari mwaka 2019. Nichukue nafasi hii kwanza kukupongeza mkurugenzi na timu yako kwa juhudi za haraka ulizochukua katika kukabiliana na tatizo hili, lakini niwaagize wakurugenzi wote nchini kutumia vianzo vyao vya ndani badala ya kusubiri kila kitu kutoka serikali kuu alisema Eng.Nyamhanga.Katibu mkuu huyo aliongeza kuwa zipo halmashauri zenye uwezo mkubwa wa mapato ya ndani  lakini bado wamekuwa wakisubiri kila kitu waletewe badala kuwa wabunifu.Pamoja na pongezi hizo pia katibu mkuu aliahidi kumleta mwalimu wa Fizikia katika shule hiyo ambapo kwa sasa pamoja na shule kuwa na walimu wanne wa masomo ya Sayansi lakini hakuna mwalimu hata mmoja wa somo hilo.Kwa Upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa Ndg Renatus Mchau amemhakikishia katibu Mkuu kuwa yeye pamoja na timu yake ataendelea kusimamia mapato ya ndani kwa ufasaha ili kuendelea kutatua changamoto zinazowakabili wananchi hasa katika sekta za Elimu na Afya.Katibu Mkuu Eng.Joseph Nyamhanga yupo katika ziara ya kikazi ya siku mbili katika wilaya Kilwa akitokea Mkoani Mtwara ambapo kwa siku ya kwanza alitembelea  shule shikizi ya Mbate, ujenzi wa barabara ya Lami inayounganisha Nangurukuru Kilwa Masoko na Hospitali ya Wilaya ya Kinyonga iliopo Kilwa- Kivinje  ambapo  katika siku ya pili ya ziara yake  atakagua ujenzi wa kituo vya Afya cha Masoko na kukagua ujenzi wa barabara za lami zenye urefu wa kilomita sita zilizopo Kilwa Masoko.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BANDARI YA UVUVI KILWA KUKAMILIKA MWEZI JUNI 2025

    May 08, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI

    May 07, 2025
  • KILWA YAPIGA HATUA KATIKA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

    May 06, 2025
  • WANANCHI, WANAFUNZI NA WATUMISHI KILWA WAJITOKEZA KWA MAZOEZI YA PAMOJA UWANJA WA MWENGE/TAIFA

    May 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa