• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

KAMATI YA USHAURI YA WILAYA YA KILWA YAJADILI MAPENDEKEZO YA KUANZISHA JIMBO JIPYA LA KILWA MASHARIKI

Posted on: March 11th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Mohamed Nyundo ameongoza Mkutano Maalum wa Kamati ya Ushauri ya Wilaya ya Kilwa kwa lengo la kujadili Mapendekezo ya kugawa Majimbo Mawili ya Uchaguzi ambayo ni Kilwa Kaskazini na Kilwa Kusini ili kupata Jimbo Jipya la Uchaguzi la Kilwa Mashariki. Mkutano huo umefanyika katika Ukumbi wa Sultani uliopo Kilwa Masoko Tarehe 11/03/2025.

Mapendekezo ya Muundo wa Majimbo hayo ni kama ifuatavyo; Jimbo la Kilwa Kaskazini linapendekezwa kuwa na Kata ya Kipatimu, Kandawale, Chumo, Namayuni, Kibata, Mingumbi, Kinjumbi, na Somanga. Jimbo la Kilwa Kusini linapendekezwa kuwa na Kata ya Pande, Lihimalyao, Mandawa, Kiranjeranje, Nanjirinji, Likawage, Njinjo na Miguruwe na Jimbo la Kilwa Mashariki linapendekezwa kuwa na Kata ya Songosongo, Masoko, kivinje, Tingi, Miteja, Kikole na Mitole.

Baadhi ya Sifa za majimbo hayo ni kama ifuatavyo. Jimbo la Kilwa Kaskazini litakuwa na wastani wa Idadi ya Watu 94, 845 na Ukubwa wa eneo ni Kilometa za Mraba 2,074.63. Jimbo la Kilwa Kusini litakuwa na wastani wa Idadi ya Watu 112,682 na Ukubwa wa Eneo ni Kilometa za Mraba 8,959.68 na Jimbo la Kilwa Mashariki litakuwa na Wastani wa Idadi ya Watu 90,149 na Ukubwa wa Eneo ni Kilometa za Mraba 2,313.18. Takwimu za Idadi ya Watu ni kwa Mujibu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) za Mwaka 2022.

Pamoja na Kupokea Maoni na Ushauri kutoka kwa Wajumbe wa Kikao Hicho Mhe. Nyundo amewashukuru wajumbe wote kwa kuitikia wito na kufika kwa wingi ili kuchangia mawazo yao kwa ajili ya Maendeleo ya Wilaya ya Kilwa. Aidha Mhe. Nyundo amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa Fursa Hii kwa Watanzania Ili kuongeza wigo wa ushirikishwaji wa wananchi kupitia mwakilishi wao, Kuongeza Uwajibikaji kwa Viongozi kwa kupunguza Ukubwa wa Majimbo na kuongeza Usawa katika Mgawanyo wa Rasilimali na Utoaji wa Huduma za Kijamii.

Ikumbukwe kuwa ugawaji wa Majimbo umezingatia Vigezo vyote vya Ugawaji wa Majimbo kama inavyopendekezwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KILWA DC YAANZA KWA KISHINDO SHIMISEMITA

    August 16, 2025
  • MTANDAO WA BMU WAELEZA FAIDA ZA ZIARA YA MAFUNZO MKOANI TANGA

    August 15, 2025
  • DED NA TIMU YA UFUATILIAJI KILWA WAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

    August 14, 2025
  • KAMATI ZA MAANDALIZI YA SHEREHE ZA MAJIMAJI KILWA ZAKUTANA KUJADILI MAANDALIZI YA SHEREHE HIZO

    August 13, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa