• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

KAMATI TENDAJI YA TEHAMA YAFANYA KIKAO ROBO YA KWANZA 2024/2025.

Posted on: November 1st, 2024

Kamati Tendaji ya TEHAMA (ICT STEERING COMMITTEE) Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa imefanya kikao cha robo ya kwanza ya mwaka 2024/2025. Katika kikao hicho taarifa ya utekelezaji wa shughuli za kitengo cha TEHAMA kwa robo ya kwanza ya mwaka 2024/2025 imewasilishwa. Kikao hicho kimefanyika katika ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa leo tarehe 01 Novemba 2024.

Pamoja na kufanya majadiliano juu ya shughuli zinazotekelezwa na kitengo cha TEHAMA, kamati imejadili juu ya maboresho yanayohitajika katika utoaji wa huduma kwa jamii kupitia mifumo ya kidigitali ya TEHAMA, kuhakikisha Usalama wa taarifa za umma kupitia hatua za kiusalama na sera zinazolinda data ndani ya mifumo ya TEHAMA na pia kuboresha ufanisi na uwajibikaji ndani ya Halmashauri kwa kutumia njia za kidigitali za utunzaji wa kumbukumbu na upatikanaji wa taarifa kwa haraka.

Naye mwenyekiti wa Kamati hiyo Ndg. Hemed S. Magaro amesisitiza ufungaji wa mfumo wa GoTHOMIS katika vituo vyote vya kutolea huduma za Afya ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Aidha amesisitiza kuweka utaratibu wa kusimika miundombinu ya TEHAMA katika miradi yote inatekelezwa ndani ya Halmashauri kwani karne tuliyopo ni karne ya kidigitali hivyo ni lazima kuzingatia ufungaji wa miundombinu hiyo kwenye miradi hiyo. Pia Ndg. Magaro ameagiza ufungaji wa Kamera za kiusalama katika Hospitali ya Wilaya Kinyonga na Katika Majengo ya Halmashauri.

Kwa Upande Wake Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA Ndg. Boniface Kimaro ameileza kamati juu ya mipango iliyopo ya kuhakikisha usimikaji wa Mfumo wa GoTHOMIS katika vituo vyote vya kutolea huduma za afya ndani ya Halmashauri. Pia ameelezea kuwa kitengo kipo katika mchakato wa kuondoa matumizi ya makabrasha katika vikao na kuhamia katika matumizi ya mfumo wa kidigital wa kuendesha vikao yaani e-Board ndani ya Halmashauri.


Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAKALA APONGEZA JITIHADA ZA KURUDISHA MAWASILIANO SOMANGA

    April 10, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Mkono wa Eid kwa watoto wenye mahitaji Maalum Shule ya Msingi Mtanga Wilayani Kilwa.

    March 31, 2025
  • IDARA YA MAENDELEO YA JAMII YATOA MSAADA WA TELEVISHENI KWA GEREZA LA KILWA MASOKO

    April 28, 2025
  • MARAFIKI WA ELIMU WAWASILISHA TAARIFA YA UFUATILIAJI WA MAKUZI YA AWALI YA MTOTO KWA WADAU WA ELIMU KILWA.

    April 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa