• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

JESHI LA AKIBA KILWA LAANDAA VIJANA WAZALENDO NA WATIIFU.

Posted on: November 8th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa na Mwenyekiyiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya, Mhe. Mohamed Nyundo amefunga rasmi mafunzo ya miezi minne (4) kwa askari wapatao 131 wa awamu ya 16 ya Mafunzo ya jeshi la Akiba katika kata ya Somanga Wilayani humo leo tarehe 08 Novemba 2024.

Katika hafla ya kufunga mafunzo hayo Mhe. Nyundo amewapongeza wakufunzi wa askari hao kwa kazi nzuri wanayoifanya. “Ninaona vijana wana utofauti mkubwa ukilinganisha na kipindi wanaanza mafunzo haya, wamebadilika kutoka kuwa goigoi, vijana wasio na nidhamu, vijana wasio na utayari wa kufanya kazi na sasa wamekuwa vijana wakakamavu, wenye utimamu wa akili pamoja na utayari wa kulitumikia taifa lao” Amesema DC Nyundo.

Kwa upande wake Mshauri wa jeshi la Akiba Wilaya ya Kilwa Luteni  Kanali Philipo William Mwangatwa amesema mafunzo hayo yalianza rasmi 01/07/2024 yakiwa na vijana wapatao 149 kati yao wanaume wakiwa 107 na wanawake wakiwa 42 na leo tarehe 08/11/2024 wamehitimu askari wapatao 131 kati yao wanaume wakiwa 94 na wanawake wakiwa 37.

Katika mafunzo hayo askari wamepata ujuzi mbalimbali ikiwemo ujanja wa porini, mbinu za kivita na wameweza kufahamu matumizi sahihi ya silaha mbalimbali. Pia Askari hao wamejifunza uzalendo, hamasa ya kuipenda na kutamani kuitumikia nchi yao kwa uadilifu, utii na nidhamu, wamejengewa uwezo wa kuwa wakakamavu na jinsi ya kukabiliana na changamoto za kijamii. Pia askari 5 kati yao wameanza mafunzo ya Ulinzi na Usalama.

Katika kuitimisha hafla hiyo Mhe. Nyundo amewahadi askari wa jeshi hilo kuwapa kipaumbele katika fursa za ajira na mafunzo mbalimbali ikiwemo mafunzo ya jeshi la kujenga taifa. Aidha Mhe. Nyundo ametoa wito kwa wananchi wa Wilaya ya Kilwa kuacha tabia ya kubeza wanapopata taarifa ya jambo au wito wa serikali, badala yake amewasihi wananchi kutumia muda huo kusikiliza, kutafakari na mwisho kufanya utekelezaji wa jambo husika.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAONESHO YA MADINI RUANGWA 2025 YAWAPA WANANCHI FURSA MPYA ZA UWEKEZAJI

    June 11, 2025
  • KILWA NA FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA MAONESHO YA MADINI MKOANI LINDI

    June 11, 2025
  • WANAWAKE KATA YA TINGI WAANDAA DUA MAALUM KUMUOMBEA MHE. RAIS SAMIA

    June 08, 2025
  • DC KILWA AITAKA JAMII KUDHIBITI UTUMIAJI WA PLASTIKI ILI KUYALINDA MAZINGIRA.

    June 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa