• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Idadi ya waathirika yafikia elfu tisa Kilwa

Posted on: January 30th, 2020

 

 

Idadi ya waathirika yafikia elfu  tisa Kilwa

  • .wadau waanza kujitokeza kutoa misaada
  • Ikiwa ni siku ya sita tangu yalipojitokeza mafuriko katika Wilaya ya Kilwa , idadi ya waathirika imeendelea kuongezeka kutoka elfu nne mpaka kufikia Zaidi ya watu elfu tisa wanaishi katika kambi mbali mbalia za kuwahudumia wahanga wa mafuriko.
  • Mpaka sasa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya pamoja na ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji imepokea misaada mbali mbali ya kijamii ambapo mpaka leo tarehe 31 Januari  shirika la kikristo linalowahudumia wakimbizi la Tanganyika Christian Refugee Service (TCRS) limekabidhi nguo marobota mia tatu kwa ajili ya wahanga wa mafurika.
  • Misaada hiyo imekabidhiwa kwa Mkuu wa Wilaya Mhe.Christopher Ngubiagai na Afisa Miradi anayesimamia Ushauri na dharura  kutoka TCRS Bi.Teddy Deo katika ofisi za Halmashauri ya Wilaya ambapo ameahidi kuendelea kutoa misaada ya kibinadamu ili kuendelea kuwapa  
  • Mkuu wa Wilaya amewapongea wadau hao na kuwaambia kwamba bado mahitaji ni makubwa na hasa ya chakula katika kambi hizo.
  • Akitaja idadi ya waathirika wanaohudumiwa katika kambi mbali mbali, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa Ndg.Ally Ligalawike amezitaja kambi kumi za kuhifadhi wahanga  na idadi ya watu kwenye mabano kama ifuatavyo;
  • Kituo cha Njinjo watu (6440),Mitole watu (790),Kikole watu (93),Kiranjeranje watu (377),Pamoja naMakangaga watu (589).
  • Amevitaja vituo vingine vyenye watu kuwa ni,Ruhatwe watu (550),Matandu watu (663),Nakiu watu (126)
  • ,Kigombo watu (134) na Likumla  watu (98) na kufanya jumla ya watu wanaohudumiwa kufikia watu 9,860.
  • Kaimu Mkurugenzi huyo ameendelea kutoa wito kwa wadau mbali mbali kuendelea kutupia macho Wilaya ya Kilwa kwani madhara ni makubwa sana kutokana na miundombinu na makazi ya watu kuathirika kwa kiwango kikubwa ambapo amezitaja changamoto zinazohitaji msaada wa haraka kuwa ni Chakula, Nguo, madawa, maji safi na salama, mahema ya Kuishi pamoja na vyombo vya usafiri kama magari na mafuta kwa ajili ya kuwawezesha kuwafikia wahanga wanaohudumiwa kila siku.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KILWA DC YAANZA KWA KISHINDO SHIMISEMITA

    August 16, 2025
  • MTANDAO WA BMU WAELEZA FAIDA ZA ZIARA YA MAFUNZO MKOANI TANGA

    August 15, 2025
  • DED NA TIMU YA UFUATILIAJI KILWA WAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

    August 14, 2025
  • KAMATI ZA MAANDALIZI YA SHEREHE ZA MAJIMAJI KILWA ZAKUTANA KUJADILI MAANDALIZI YA SHEREHE HIZO

    August 13, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa