• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA NA SEKTA BINAFSI KUJADILI KUJENGA MAENDELEO KWA PAMOJA

Posted on: April 14th, 2025

Timu ya Wataalamu kutoka Ofisi ya Rais (TAMISEMI) pamoja na Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi Public Private Partnership Center (PPPC), kilichopo chini ya Wizara ya Fedha, wamefanya kikao kazi na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Ndg. Abushiri Mbwana, kwa lengo la kutoa elimu na kufanya majadiliano juu ya fursa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo kupitia ubia kati ya Halmashauri na Sekta Binafsi.

Kikao hicho kimefanyika tarehe 14 Aprili 2025 katika Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, ambapo wadau hao walijadili maeneo muhimu ya uwekezaji yanayoweza kufanikishwa kupitia mfumo wa PPP (Public Private Partnership), ikiwa ni njia mbadala ya kuongeza ufanisi na kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika ngazi ya Serikali za mitaa.

Katika kikao hicho, elimu kuhusu miongozo ya PPP, vigezo vya uteuzi wa miradi, taratibu za kisheria na faida kwa Halmashauri zilitolewa, huku pande zote zikiwa na nafasi ya kutoa maoni na mapendekezo ya miradi yenye tija kwa jamii ya Kilwa.

Akizungumza katika kikao hicho, Ndg. Abushiri Mbwana ameeleza kuwa Halmashauri ya Kilwa iko tayari kushirikiana na sekta binafsi katika kuendeleza miradi yenye tija kwa Wananchi, kwa kuzingatia Misingi ya uwazi, tija na uendelevu.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • VIONGOZI KILWA WAFANYA DUA YA KUWAOMBEA KIDATO CHA SITA

    April 29, 2025
  • CHMT KILWA YATOA MAFUNZO YA CHANJO YA POLIO YA PILI

    April 29, 2025
  • SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICE YAWAFIKIA WANANCHI KILWA

    April 28, 2025
  • KILWA YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA USAFI WA MAZINGIRA NA UPANDAJI MITI

    April 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa