• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

HALMASHAURI YA KILWA YADUMISHA USHIRIKIANO NA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KUPITIA JUKWAA LA PAMOJA

Posted on: July 1st, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa imefanya kikao maalum na wadau kutoka Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) kwa lengo la kuimarisha ushirikiano katika kutekeleza shughuli za kijamii na kuisaidia jamii Wilayani Kilwa.


Kikao hicho, kilichofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi (FDC) Kilwa tarehe 01 Julai, 2025, kimewaleta pamoja wawakilishi kutoka mashirika mbalimbali yasiyo ya kiserikali ambapo washiriki walipata nafasi ya kujadili namna bora ya kuimarisha mahusiano kati yao na Serikali.


Akifunga kikao hicho, Katibu Tawala wa Wilaya ya Kilwa, Ndg. Yusuf Mwinyi kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Kilwa amewapongeza viongozi na wawakilishi wa mashirika hayo kwa kazi kubwa wanayoifanya katika kuunga mkono juhudi za Serikali, hususani katika kusaidia jamii zenye mahitaji maalum kama waathirika wa mafuriko na watu wanaoishi katika mazingira magumu.


"Tunatambua na kuthamini mchango wenu mkubwa kwa jamii. Ushirikiano kati ya mashirika yasiyo ya kiserikali ni muhimu sana katika kuleta maendeleo " amesema Ndg. Mwinyi.


Kwa upande wake, Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Ndg.Grace Mwambe, ameeleza kuwa lengo kuu la jukwaa hilo ni kuimarisha uhusiano na mshikamano kati ya Serikali na mashirika hayo, pia kuwakumbusha kuzingatia sheria, kanuni na miongozo ya serikali katika utekelezaji wa shughuli za kuisaidia jamii ikiwemo kulipa ada na tozo kwa wakati ili kuwezesha Serikali kutoa huduma bora kwa wananchi.


Aidha, ametoa wito kwa mashirika hayo kuendelea kusaidia wanafunzi wanaotoka katika familia zenye hali duni, ili kuwawezesha kuendeleza masomo yao na kutimiza ndoto zao, jambo ambalo litaleta tija kwa familia zao na taifa kwa ujumla.


Jukwaa hilo litaenda kuwa na tija kwa pande zote mbili kwa kuendeleza ushirikiano wa maendeleo endelevu katika Wilaya ya Kilwa pia ni sehemu ya juhudi za Halmashauri kuhakikisha maendeleo jumuishi kupitia ushirikiano thabiti kati ya Serikali na wadau wa maendeleo

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI WILAYANI KILWA

    July 09, 2025
  • HALMASHAURI YA KILWA YADUMISHA USHIRIKIANO NA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KUPITIA JUKWAA LA PAMOJA

    July 01, 2025
  • KILWA YAPOKEA RUZUKU YA CHANJO ZA MIFUGO KWA AJILI YA KUKABILI MAGONJWA HATARI

    June 26, 2025
  • KAYA 4,024 KUNUFAIKA NA TSH. MILIONI 129,297,000/= ZA TASAF KUNUSURU KAYA ZA WALENGWA

    July 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa