• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

DED KILWA AKABIDHI VIFAA VYA KIDIGITALI KWAAJILI YA UKUSANYAJI WA TAKWIMU ZA RASILIMALI ZA BAHARI

Posted on: May 16th, 2025

Katika kuhitimisha mafunzo ya siku tatu (3) ya ukusanyaji wa takwimu za rasilimali za bahari kidigitali (Kobo Collect). Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Ndg. Hemed S. Magaro, amekabidhi simu janja 33 zenye thamani ya Tsh 8,910,000/= kwa Vikundi 11 vya usimamizi wa fukwe (BMU) Kilwa Kusini, zilizotolewa na Shirika la Sea Sense kupitia uwezeshaji kutoka Shirika la Blue Venture, ili zitumike katika ukusanyaji  wa takwimu kwa njia ya kidigitali.

Pia katika hafla hiyo Ndg. Magaro amekabidhi vifaa vyenye thamani ya Tsh 6,000,000/= vitakavyo tumiwa na BMU katika upumzishaji wa miamba ya uvuvi ambavyo ni mafuta lita 600, kamba mita 90 kumi (10), maboya makubwa 15, mizani 15, chachacha 15, snuka (snooker) 10, mask 10, Pezi bandia (flipper) 10, mifuko ya saruji 5, nondo 5, tochi 10 na fedha taslimu shilingi 150,000.

Zoezi la ugawaji wa vifaa hivyo limefanyika tarehe 15 Mei 2025 katika Ukumbi wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi (FDC) Kilwa,

Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Ndg. Magaro ameeleza kuwa mafunzo haya na vifaa vilivyotolewa ni sehemu ya mkakati wa kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa takwimu na kuongeza utunzaji wa Ikolojia ya bahari na usimamizi wa rasilimali za uvuvi. Aidha, ameagiza Kitengo cha Uvuvi, BMU, pamoja na serikali za vijiji kuhakikisha kuwa vifaa hivyo vinatunzwa ipasavyo na kutumika kwa malengo yaliyokusudiwa.

“Mtakapokusanya takwimu sahihi kwa wakati, mtaiwezesha serikali kupanga mipango bora ya maendeleo kwa sekta ya uvuvi,” amesema Ndg. Magaro.

Mafunzo haya yametolewa na Shirika la Sea Sense kwa kushirikiana na Serikali ya Wilaya ya Kilwa, ikiwa ni juhudi za pamoja za kuinua sekta ya uvuvi na kuhakikisha matumizi endelevu ya rasilimali za bahari.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAONESHO YA MADINI RUANGWA 2025 YAWAPA WANANCHI FURSA MPYA ZA UWEKEZAJI

    June 11, 2025
  • KILWA NA FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA MAONESHO YA MADINI MKOANI LINDI

    June 11, 2025
  • WANAWAKE KATA YA TINGI WAANDAA DUA MAALUM KUMUOMBEA MHE. RAIS SAMIA

    June 08, 2025
  • DC KILWA AITAKA JAMII KUDHIBITI UTUMIAJI WA PLASTIKI ILI KUYALINDA MAZINGIRA.

    June 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa