• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

DED KILWA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA YA AFYA NA ELIMU

Posted on: August 12th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Ndg. Hemed Magaro, amefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo katika sekta za Afya na Elimu, ili kuhakikisha inatekelezwa kwa viwango vinavyokubalika na kukamilika kwa wakati.


Ziara hiyo imefanyika tarehe 12 Agosti 2025 katika Kata za Kikole, Njinjo na Miguruwe, ikihusisha timu ya wataalamu kutoka idara mbalimbali za Halmashauri kwa ajili ya kufanya tathmini ya maendeleo ya miradi inayotekelezwa kupitia vyanzo mbalimbali vya fedha.


Ametembelea Shule ya Msingi Mbate kukagua ujenzi wa madarasa mawili (Sh. milioni 48) na umaliziaji wa nyumba ya mwalimu (Sh. milioni 19). Vilevile, amekagua mradi wa mabweni ya wanafunzi katika Shule ya Sekondari Njinjo (Sh. milioni 185) unaofadhiliwa na Shirika la ActionAid, pamoja na ujenzi wa vyoo katika Shule ya Sekondari Miguruwe (Sh. milioni 8.5) na choo cha nyumba ya mwalimu Shule ya Msingi Zingakibao (Sh. milioni 2.98) kupitia Mfuko wa Jimbo.


Katika sekta ya afya, ametembelea ujenzi wa Zahanati ya Njinjo (Sh. milioni 249.12) unaofadhiliwa na Serikali Kuu, Zahanati ya Miguruwe (Sh. milioni 130) kupitia mapato ya ndani, na nyumba ya Mganga (Sh. milioni 50) kwa ushirikiano wa Serikali na wananchi. Pia, amekagua umaliziaji wa Jengo la Upasuaji na Wodi ya Wazazi katika Zahanati ya Zingakibao (Sh. milioni 450) kupitia mapato ya ndani.


Akizungumza baada ya ukaguzi huo, Ndg. Magaro amesema "Tunataka miradi hii itekelezwe kwa viwango vya kitaalamu. Wananchi wasubiri huduma bora, si hadithi."


Ameongeza kuwa amewasihi wenye miradi ya mashirika yasiyo ya kiserikali kuhakikisha inasimamiwa kwa makini na kwa weredi sawa na miradi mingine ya Serikali.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KILWA DC YAANZA KWA KISHINDO SHIMISEMITA

    August 16, 2025
  • MTANDAO WA BMU WAELEZA FAIDA ZA ZIARA YA MAFUNZO MKOANI TANGA

    August 15, 2025
  • DED NA TIMU YA UFUATILIAJI KILWA WAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

    August 14, 2025
  • KAMATI ZA MAANDALIZI YA SHEREHE ZA MAJIMAJI KILWA ZAKUTANA KUJADILI MAANDALIZI YA SHEREHE HIZO

    August 13, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa