• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

DC KILWA ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO YA LINDI MINING EXPO 2025

Posted on: June 13th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mhe. Mohamed Nyundo, tarehe 13, Juni2025 ametembelea mabanda mbalimbali ya maonesho ya madini na fursa za uwekezaji katika LINDI MINING EXPO 2025 yanayoendelea kufanyika Wilayani Ruangwa, Mkoa wa Lindi.


Akiwa katika ziara hiyo, Mhe. Nyundo amepata fursa ya kujionea ubunifu, teknolojia na miradi mbalimbali ya madini inayotekelezwa na taasisi, kampuni binafsi pamoja na Halmashauri kutoka mikoa ya kusini mwa Tanzania. Maonesho hayo yanalenga kuhamasisha ushiriki wa wananchi na wawekezaji katika sekta ya madini kama njia ya kukuza uchumi wa mkoa na taifa kwa ujumla.


Pia Mhe. Nyundo ameipata maelezo kutoka kwa wataalamu wa sekta ya madini kuhusu miradi inayoendelea na mikakati ya kuvutia wawekezaji. Aidha, alizungumza na wadau wa sekta hiyo ambapo alihimiza ushiriki wa wananchi katika kunufaika na rasilimali zilizopo kupitia ushirikiano baina ya sekta binafsi na serikali za mitaa.


Kaulimbiu ya mwaka huu ni

“Madini na Uwekezaji Fursa ya Kiuchumi Lindi – Shiriki Uchaguzi Mkuu 2025”, ikisisitiza umuhimu wa ushiriki wa wananchi katika maendeleo ya kiuchumi kupitia sekta ya madini sambamba na uwajibikaji wa kiraia katika uchaguzi mkuu ujao.


Aidha Mhe. Nyundo alisisitiza kuwa Wilaya ya Kilwa imejipanga kikamilifu kunufaika na fursa zinazotokana na sekta ya madini kwa kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji na kuhakikisha wananchi wanashiriki kikamilifu katika shughuli za kiuchumi.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI LINDI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA USHIRIKI WA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KUJIFUNZA

    June 22, 2025
  • WADAU MBALIMBALI KATIKA BANDA LA MKOA WA LINDI KWENYE MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA DODOMA

    June 21, 2025
  • MADIWANI KILWA WAAGWA KWA HAFLA YA HESHIMA

    June 19, 2025
  • HONGERA HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA KWA KUPATA HATI SAFI YA CAG

    June 19, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa