• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

BMU KILWA ZAPIGWA MSASA JUU YA MFUKO WA UHIFADHI WA BAHARI (MKUBA)

Posted on: June 25th, 2025

Katika kuhitimisha ziara ya mafunzo ya ukusanyaji wa mapato na uhifadhi wa mazingira ya bahari mkoani Tanga, wanachama wa Vikundi vya Usimamizi wa Rasilimali za Bahari (BMU) kutoka Wilaya ya Kilwa wamepata elimu muhimu kuhusu Mfuko wa Kuhifadhi Bahari (MKUBA) kupitia semina iliyofanyika katika kijiji cha Kigombe, Wilaya ya Muheza tarehe 25 Juni, 2025.

Akizungumza wakati wa semina hiyo, Bi. Mwanahamisi Said Omary ambaye ni mwezeshaji wa masuala ya MKUBA, alieleza kuwa mfuko huo ni nyenzo muhimu katika kuwawezesha wavuvi kiuchumi kupitia mikopo isiyo na riba, elimu ya fedha, pamoja na kuwajengea uwezo wa kuanzisha biashara mbadala wakati wa kipindi cha ufungaji wa miamba.

“Mfuko huu unamwezesha mvuvi kukopa bila riba, na kupata elimu ya fedha na ujasiriamali ili kuendeleza maisha yao hata nje ya shughuli za bahari,” amesema Bi. Mwanahamisi.

Pamoja na elimu ya kifedha, wanachama wa BMU Kilwa walipata nafasi ya kujifunza kwa kina kuhusu umuhimu wa kuhifadhi mazingira ya bahari kutoka kwa Mhifadhi Mfawidhi wa Hifadhi ya Bahari ya Silikanti – Tanga (Marine Parks and Reserves - Tanga) Bi.Magreth Mchome ambaye aliwaeleza mbinu na mikakati ya kudhibiti uharibifu wa mazingira ya baharini kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho.

Aidha Bi. Magreth alitoa wito kwa BMU za Kilwa kuchukua hatua madhubuti katika kulinda na kuhifadhi rasilimali za bahari. Tunatoa wito kwa wanachama wote wa BMU kuanzisha na kuimarisha mifuko ya hifadhi kama MKUBA, ili kujenga uchumi imara kwa jamii zao, na wakati huo huo, kuwa walinzi wa mazingira ya bahari kwa maendeleo endelevu.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SERIKALI KUENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWA NGO's LINDI

    July 10, 2025
  • SERIKALI YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI WILAYANI KILWA

    July 09, 2025
  • HALMASHAURI YA KILWA YADUMISHA USHIRIKIANO NA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KUPITIA JUKWAA LA PAMOJA

    July 01, 2025
  • KILWA YAPOKEA RUZUKU YA CHANJO ZA MIFUGO KWA AJILI YA KUKABILI MAGONJWA HATARI

    June 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa