• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

BMU KILWA YAPAITIWA MAFUNZO YA UHIFADHI WA BAHARI NA VIUMBE HAI

Posted on: January 16th, 2025

Wizara ya Mifugo na Uvuvi kupitia Taasisi ya Uhifadhi wa Bahari na Maeneo Tengefu Tanzania (MPR) imetoa Mafunzo kwa Viongozi wa BMU Kilwa (Beach Management Unit) kuhusiana na faida za Uchumi wa buluu ili kuwajengea uelewa juu ya mpango wa kuanzisha uhifadhi na maeneo tengefu katika wilaya Kilwa ikiwa ni moja ya jitihada za kukuza sekta ya Uvuvi katika Wilayani Kilwa.

Akiwa katika ufunguzi wa Mafunzo Hayo Katibu Tarafa Wilayani Kilwa Mhe. Yusuf Mkomi amesema kuwa Uhifadhi unaoendana  kuanzishwa katika Wilaya Kilwa utaenda kusaidia kukuza utalii hususani katika suala la  zima la utunzaji wa fukwe za bahari kwaajiri ya shughuli za kitalii.

Kikao hicho kilichofanyika tarehe 16 Januari 2025 katika ukumbi wa Chuo Mandeleo (FDC) Kilwa kimewakutanisha Viongozi kutoka Taasisi 29 za BMU Wilayani Kilwa ambapo Mwezeshaji wa mafunzo hayo Ndg. Godfrey Ngupola amesema   Uhifadhi na maeneo tengefu Kilwa utasaidia  kuwepo kwa mpangilio wa maeneo ya madharia ya Samaki kupangwa  kimatumizii na kuleta faida endelevu kwa wananchi ukitofautisha na Uvuvi wa kawaida ambao unatumika katika Jamii.

Aidha Ndg. Ngupula ameongeza kuwa mpango huo utasaidia wananchi kujipangia utataratibu wa kutumia rasilimali ndani ya eneo la  hifadhi kufanyiwa tafiti za mara kwa mara na kulindwa rasmi kwa utaratibu maalumu njia hiyo itasaidia kupunguza Uvuvi usio na utaratibu maalumu na wizi wa samaki kipindi cha ufungaji wa mwamba darasa.

Kwa upnde wake Afisa uvuvi Mkoa Ndg.Jumbe Kawambwa amesema mpango huo wa uhifadhi wa maeneo tengefu  pia umelenga kuleta maendeleo kupitia Bandari ya Uvuvi hususani katika  kuongezeka uvunaji wa samaki kupitia Elimu ya uhifadhi na utunzaji wa madharia ya samaki itakayo tolewa kwa wananchi kupitia mafunzo hayo.

Sambamba na hilo  Ndg.Kawambwa ametoa wito kwa kwa wananchi kushirikiana na Wizara ya Ufugaji na Uvuvi katika utekezaji ili kuhakikisha mpango huo unakamilika kama ulivyokusudia

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DC KILWA AITAKA JAMII KUDHIBITI UTUMIAJI WA PLASTIKI ILI KUYALINDA MAZINGIRA.

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAKIMBIZWA KILOMETA 173 NA KUTEMBELEA MIRADI 13 YENYE THAMANI YA TSH BILIONI 11 WILAYANI KILWA.

    May 31, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI ZAHANATI YA NJINJO KILWA.

    May 31, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI KWENYE MRADI WA UJENZI WA MNADA WA MIFUGO KILWA

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa