• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

"Wavuvi wanaotumia Zana zilizo katazwa wazisalimishe" Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi

Posted on: September 20th, 2018

Kilwa,

     

Naibu waziri wa Mifugo na uvuvi (Mb) Mhe. Abdallah Ulega amewataka wavuvi ambao bado wanaendelea na uvuvi wa kutumia Zana zilizokatazwa kuacha mara moja na kuzisalimisha kwa ajili ya kuteketezwa.

Agizo hilo amelitoa Septemba 19 alipokua akizungumza na Wavuvi na Wafugaji  kata ya Somanga Wilayani Kilwa katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika shule ya msingi Somanga.

Ulega amesema ni vyema wavuvi wanaovua kwa kutumia zana zilizopigwa marufuku wakasalimisha Zana hizo kwa hiyari ili ziteketezwe na kuahidi kuchukuliwa hatua kali kwa wale wote watakao kaidi na kukamatwa wakiendelea kutumia zana hizo.

“Hata hapa tulipo wapo ambao wanaendelea kutumia zana ambazo zimepigwa marufuku, kama mnavyo fahamu kuwa mkono wa serikali ni mrefu ni bora ukazisalimisha kwani siku ya kukukuta hatutakuwa na msamaha dhidi yako, Mkuu wa Wilaya nikija tena naomba nikute lundo la vifaa vilivyo kamatwa ili niviteketeze na watuhumiwa ambao watakamatwa wafikishwe katika vyombo vya sheria’ alisisitiza ulega.

Pia ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa kwa kushirikiana na Mradi wa usimamizi wa uvuvi Kusini Magharibi mwa Bahari ya Hindi (SWIOFish) Kujenga soko la kisasa la kuuzia Samaki katika Kata ya Somanga.

Ulega amesema iwapo Wavuvi watajengewa mazingira mazuri ya Kufanya shughuli zao watasaidia kwa kiasi kikubwa  kuchangia Pato la Halmashauri.

“Mkuu wa wilaya, mkurugenzi, afisa uvuvi na wataalamu wengine na wasimamizi wa mradi wa SWIOFish naomba mshirikiane kujenga soko ambalo wavuvi hawa watauza Samaki wao na hata kujificha pindi mvua inanyesha, kaeni nao Wavuvi  mjadiliane nao  ni sehemu gani wanaona  itakua sahihi kwa kujengwa soko

 Kilwa ni miongoni mwa wilaya ambazo ziongoza kwa utaoji wa Samaki kwahiyo tukijenga mazingira mazuri itatusaidia sana katika kuongeza pato la Halmashauri” alisema Ulega.

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi (Mb) Mhe.  Abdallah Ulega akizungumza na Wavuvi wa Kata ya Somanga (Hawapo pichani) katika Mkutano wa hadhara uliofanyika katika Viunga vya shule ya Msingi Somanga September 19, Kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Christopher Ngubiagai na Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa Ndg. Renatus Mchau (Picha : Ally Ruambo)

 Aidha mhe. Ulega amewapongeza wavuvi kwa kuacha uvuvi hatarishi  kwa viumbe vya baharini wa kutumia Baruti na kuwataka kuendelea na utaratibu huo.

“Uvuvi wa kutumia Baruti ulikithiri sana katika bahari ya Hindi lakini kwa sasa kwa asIlimia kubwa umepungua, tuendelee hivyo hivyo na sisi kama tutaendelea kutoa ushirikiano kuhakikisha ile hali hainjirudiii tena” alisema ulega.

Muwakilishi wa BMU  Somanga akisoma risala kwa Niabu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega katika Mkutano wa hadhara  wa Wafugaji na Wavuvvi uliofanyika katika Viunga vya shule ya Msingi Somanga September 19, ( Picha na : Ally Ruambo). 

Katika hatua nyingine, Naibu Ulega amewataka wavuvi ambao wameanzisha makazi katika kisiwa cha Nyunni kuhama mara moja kwani kisiwa hicho sio rasmi kwa ajili ya makazi ya kudumu.

“Kisiwa Nyuni sio sehemu ya makazi kama ambavyo wavuvi wengine wanavyo fanya pale ni kwa ajili ya Dago (Mlalo) ambapo mtu anaweza kukaa siku mbili au tatu anarudi kwake, haiwezekani wengine wanakaa kabisa huko na kunywa Pombe na kuoa kabisa.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Christopher Ngubiagai amemshukuru Naibu Waziri kwa ziara yake na kuahidi kuyafanyia kazi yote aliyoagiza.

Akiwa wilayani kilwa kwa ziara ya siku moja Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega ailkutana na kufanya mazungumzo na wataalamu mbalimbali kutoka Halmashauri ya Wailaya ya Kilwa pamoja na kufanya mkutano wa Hadhara.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BANDARI YA UVUVI KILWA KUKAMILIKA MWEZI JUNI 2025

    May 08, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI

    May 07, 2025
  • KILWA YAPIGA HATUA KATIKA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

    May 06, 2025
  • WANANCHI, WANAFUNZI NA WATUMISHI KILWA WAJITOKEZA KWA MAZOEZI YA PAMOJA UWANJA WA MWENGE/TAIFA

    May 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa