• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

AFO YAJA YA MRADI WA KUREJESHA MATUMBAWE HAI KILWA

Posted on: April 15th, 2025

Shirika lisilokuwa la kiserikali la AQUA-FARMS ORGANIZATION (AFO) limefanya kikao pamoja na Viongozi wa Wilaya na Wataalamu kutoka  Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa ili kutoa Mafunzo na Kutambulisha Mradi wa MATUMBAWE HAI utakaohusisha Urejeshaji wa  Ikolojia ya Bahari, Utalii endelevu na Ustawi wa jamii katika  eneo la Ushirikiano wa Usimamizi wa Uvuvi (SOMAKI) katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa. Kikao hicho Kimefanyika katika Ukumbi wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi (FDC) Kilwa, Tarehe 15/04/2025.

Akizungumza wakati wa kikao hicho Meneja wa programu wa Mradi huo, Bi. Imelda Ilomo amesema kuwa, Malengo ya kuanzishwa kwa mradi huo ni kuimarisha Miundombinu ya usimamizi wa pamoja wa Shughuli za Uvuvi katika maeneo ya SOMAKI, kerejesha Matumbawe, Kuendeleza fursa za utalii kupitia shughuli za urejeshaji matumbawe na kuongeza uzalishaji wa Pweza. Aidha ameeleza kuwa mradi huo utatekelezwa pia katika maeneo ya Songomnara, Pande, Kilwa kisiwani, Malalani pamoja na Mtitimila.

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Wilaya ya Kilwa Ndg. Yusuf Mwinyi amewashukuru Viongozi wa Shirika la AFO kwa maamuzi ya kuleta mradi huo Kilwa na kuahidi kuwapa ushirikiano wa hali ya juu katika utekelezaji wa miradi mbalimbali waliyokusudia kuitekeleza. “Kwa niaba ya Uongozi wa Wilaya na Halmashauri kwa ujumla tumewapokea kwa moyo mkunjufu na tuko tayari kufanya kazi pamoja nanyi. Tunaomba Elimu hii mliyotoa kwetu iwafikie na wanachi ili malengo ya mradi ya kuwezesha jamii za Pwani kupitia Uchumi wa Bluu yaweze kufikiwa”.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • KILWA YAADHIMSHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA USAFU WA MAZINGIRA NA UPANDAJI MITI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO KILWA YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEZO

    April 24, 2025
  • DED KILWA AWATAKA WATENDAJI WA KATA KUSIMAMIA AFUA ZA LISHE KWA WATOTO MASHULENI

    April 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO YARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA MIRADI KATA YA K/SINGINO NA MASOKO

    April 22, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa