• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Wasichana 3378 kupatiwa Chanjo Kilwa

Posted on: April 24th, 2018

Kilwa,

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mh. Christopher Ngubiagai amezindua rasmi zoezi la utoaji wa Chanjo dhidi ya saratani ya Mlango wa kizazi kwa wasichana wenye umri wa miaka 14.

Uzinduzi huo umefanyika mapema leo katika viunga vya Shule ya Msingi Ukombozi Mjini Kilwa Masoko ambapo zaidi ya wasichana 120 kutoka Shule nne walipatiwa huduma hiyo.

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Christopher Ngubiagai akitaarisha Chanjo kuashiria kuzinduliwa rasmi kwa zoezi la utoaji wa Chanjo dhidi ya Saratani ya Mlango wa kizazi wilayani Kilwa ( Picha na Ally Ruambo)

Awali akihitimisha kikao cha Afya ya Msingi Wilaya, kilichokaa kujadili mambo mbalimbali ikiwemo zoezi zima la utoaji Chanjo na Somo kuhusu saratani ya Mlango wa Kizazi, Mh. Ngubiagai amewataka Wajumbe kuwa Mabalozi wazuri katika jamii kwa kutoa elimu sahihi juu ya umuhimu wa Chanjo dhidi ya saratani ya mlango wa kizazi.

Aidha, amewataka wale wenye umri juu ya miaka 14 kwenda kwenye vituo vya afya kwa ajili ya kufanyiwa  uchunguzi wa awali.

“Pia tukawaelimishe wale ambao umri wao ni zaidi ya miaka 14 waende katika Vituo vya afya kwa ajili ya uchunguzi wa awali, na iwapo watathibitika kuwa wana matatizo basi waanze matibabu mapema” alisema Ngubiagai

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Christopher Ngubiagai akimkabidhi kadi mmoja wa wanafunzi waliojitokeza katika viunga vya Shule ya Msingi Ukombozi baada ya kupatiwa chanjo dhidi ya Saratani ya Mlango wa kizazi (Picha na Ally Ruambo).

Jumla ya Wasichana 3378 kutoka kata mbalimbali Wilayani Kilwa wanatarajiwa kupatiwa Chanjo dhidi ya saratani ya mlango wa kizazi duru ya kwanza, ambapo 2790 kati yao ni wanafunzi kutoka shule za Msingi na Sekondari.

 Chanjo ya kujikinga na saratani ya mlango wa kizazi kwa wasichana wenye miaka 14 utolewa mara mbili ambapo mtoto upatiwa tena chanjo baada ya miezi 6 kutoka tarehe ya chanjo ya kwanza


Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAKALA APONGEZA JITIHADA ZA KURUDISHA MAWASILIANO SOMANGA

    April 10, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Mkono wa Eid kwa watoto wenye mahitaji Maalum Shule ya Msingi Mtanga Wilayani Kilwa.

    March 31, 2025
  • IDARA YA MAENDELEO YA JAMII YATOA MSAADA WA TELEVISHENI KWA GEREZA LA KILWA MASOKO

    April 28, 2025
  • MARAFIKI WA ELIMU WAWASILISHA TAARIFA YA UFUATILIAJI WA MAKUZI YA AWALI YA MTOTO KWA WADAU WA ELIMU KILWA.

    April 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa