• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

WAZABUNI NA WADAU MBALIMBALI KILWA WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST

Posted on: August 16th, 2025

Wadau mbalimbali wa sekta za umma na binafsi wamepatiwa mafunzo ya matumizi ya Mfumo wa Usimamizi na Ununuzi wa Umma Kielektroniki (NeST), unaoratibiwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) kanda ya kusini. Mafunzo hayo yametolewa kwa siku mbili huku yakilenga kuongeza uelewa na uwezo wa washiriki katika kutumia mfumo huo kwa usahihi, ili kuhakikisha michakato ya manunuzi inafanyika kwa uwazi, uwajibikaji na kwa ufanisi zaidi.


Mafunzo hayo yamefanyika Tarehe 15 na 16 Agosti 2025 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa ambapo washiriki wamejifunza namna mfumo wa NeST unavyorahisisha uwasilishaji wa zabuni, kupanua fursa za ushiriki kwa wazabuni wengi na kuhakikisha matarajio ya watumiaji yanakidhiwa. Vilevile, mfumo huu unalenga kuhakikisha thamani halisi ya fedha katika michakato ya manunuzi ya umma.


Faida kubwa ya matumizi ya mfumo wa NeST ni pamoja na kupunguza muda wa taratibu za manunuzi kwa kuondoa urasimu usio wa lazima, kuongeza usalama wa taarifa, pamoja na kuimarisha kasi ya uwasilishaji na upokeaji wa nyaraka muhimu. Hatua hii inasaidia kuongeza tija kwa taasisi za umma na binafsi katika utekelezaji wa majukumu yao.


Kwa ujumla, NeST imebuniwa kama chombo madhubuti cha kuimarisha upatikanaji wa taarifa kwa wakati, kuongeza ushiriki wa wadau mbalimbali, na kuhakikisha uwazi katika mnyororo mzima wa ununuzi wa umma nchini. Kupitia matumizi ya mfumo huu, Serikali inalenga kujenga mfumo wa manunuzi wa kisasa unaoendana na teknolojia na mahitaji ya sasa ya kiutawala.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YAKABIDHI CHANJA ZA KISASA ZENYE THAMANI YA MILIONI 117 KWA WAVUVI WA DAGAA KILWA

    August 21, 2025
  • KILWA YAJIPANGA KUIMARISHA AFUA ZA LISHE KUPITIA MASHAMBA DARASA NA SHULE.

    August 21, 2025
  • CRDB YAKABIDHI JEZI KWA TIMU YA MICHEZO YA WATUMISHI YA KILWA

    August 20, 2025
  • CRDB YAKABIDHI JEZI KWA TIMU YA MICHEZO YA WATUMISHI YA KILWA

    August 20, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa