• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

KILWA YAJIPANGA KUIMARISHA AFUA ZA LISHE KUPITIA MASHAMBA DARASA NA SHULE.

Posted on: August 21st, 2025

Kamati ya Lishe ya Wilaya ya Kilwa imefanya kikao tarehe 21 Agosti 2025 katika ukumbi wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii (FDC) – Kilwa, kwa lengo la kujadili utekelezaji wa shughuli za lishe kutoka idara na vitengo mbalimbali kwa kipindi cha Aprili hadi Juni 2025.


Katika kikao hicho, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Ndugu Matiko Kebaha ametoa msisitizo kwa wajumbe wa kamati kutekeleza kwa vitendo afua za lishe, badala ya kubaki kwenye maandiko ya mipango pekee. Ametoa wito wa kuanzishwa kwa mashamba darasa ya mfano yanayosimamiwa na Halmashauri, pamoja na kuhakikisha kuwa kila shule inakuwa na shamba la chakula ili kuchangia upatikanaji wa lishe bora kwa wanafunzi.


Aidha, amehimiza umuhimu wa ushirikiano kati ya Halmashauri na wadau mbalimbali katika kutatua changamoto zinazohusiana na lishe mashuleni, kwa lengo la kuboresha afya na maendeleo ya watoto.


Vilevile, kikao kimeweka mkazo katika kuhakikisha kaya zote katika Halmashauri zinakuwa na vyoo safi na salama, kama hatua muhimu ya kudhibiti magonjwa ya mlipuko na yale yanayotokana na uchafu wa mazingira.


Kikao hiki ni sehemu ya utekelezaji wa mkataba wa lishe wa wilaya na dhamira ya dhati ya Halmashauri katika kuboresha hali ya lishe na afya ya jamii wilayani Kilwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YAKABIDHI CHANJA ZA KISASA ZENYE THAMANI YA MILIONI 117 KWA WAVUVI WA DAGAA KILWA

    August 21, 2025
  • KILWA YAJIPANGA KUIMARISHA AFUA ZA LISHE KUPITIA MASHAMBA DARASA NA SHULE.

    August 21, 2025
  • CRDB YAKABIDHI JEZI KWA TIMU YA MICHEZO YA WATUMISHI YA KILWA

    August 20, 2025
  • CRDB YAKABIDHI JEZI KWA TIMU YA MICHEZO YA WATUMISHI YA KILWA

    August 20, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa