• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

WIZARA YA KATIBA NA SHERIA YAWAKUMBUSHA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA KILWA MISINGI YA UTAWARA BORA.

Posted on: March 4th, 2025

Wizara ya Katiba na Sheria kwa kushirikiana na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Ofisi ya Raisi (TAMISEMI) na Jeshi la Polisi Tanzania,imetoa mafunzo ya Uraia na Utawala bora kwa viongozi wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa lengo ikiwa ni kuwakumbusha viongozi hao kuzingatia haki za binadamu, usalama na misingi ya utawala bora katika utendaji wa majukumu yao.

Mafunzo hayo yametolewa leo tarehe 04/03/2025 Katika Ukumbi wa Sultani Kilwa Masoko ambapo mwezeshaji ACP Elisante Ulomi ametoa elimu juu ya ulinzi na usalama wa Nchi na kuwahimiza viongozi ngazi ya Mitaa kuielimisha jamii juu ya kushiriki katika kulinda amani na usalama kwa kujiunga na makundi mbalimbali ya ulinzi na usalama, pia kuwa wazalendo kwa kutoa taarifa za uhalifu unaojitokeza katika mazingira yao, ili kuhakikisha vitendo hivyo vinaondolewa na usalama unaimarika katika jamii.

Pia akiwasilisha mada ya Madaraka kwa Umma Ndg. Hamisi Ujanja amewahimiza viongozi wa Serikali za Mitaa na watumishi wa Halmashauri kushirikisha wananchi katika utekelezaji wa miradi ya serikali ili kupunguza malalamiko na kujenga dhana ya uwajibikaji na utawala bora.

Kwa upande wake Ndg.Yohana Mcharo amesema moja ya malengo ya mafunzo hayo ni kuwakumbusha watendaji ngazi ya Serikali za Mitaa juu ya umuhimu wa kuelewa muundo wa serikali za Mitaa na kutimiza wajibu wao kupitia sheria zinazoongozwa na serikali hiyo ili ya kutimiza lengo la utawala bora.

Akizungumza katika mafunzo hayo Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Mohamed Nyundo ametoa shukrani kwa Wizara ya katiba na Sheria kwa kutoa elimu ambayo inasaidia viongozi kuwa bora na kuhakikisha wanatimiza wajibu wao kwa kuzingatia misingi ya sheria na utawala bora, Pia amewataka Maafisa Watendaji kata na Wakuu wa Idara wa Hamashauri waliohudhuria katika mafunzo hayo kufikisha elimu walioipata katika jamii ili kuweza kufikia malengo ya elimu hiyo.

  

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAONESHO YA MADINI RUANGWA 2025 YAWAPA WANANCHI FURSA MPYA ZA UWEKEZAJI

    June 11, 2025
  • KILWA NA FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA MAONESHO YA MADINI MKOANI LINDI

    June 11, 2025
  • WANAWAKE KATA YA TINGI WAANDAA DUA MAALUM KUMUOMBEA MHE. RAIS SAMIA

    June 08, 2025
  • DC KILWA AITAKA JAMII KUDHIBITI UTUMIAJI WA PLASTIKI ILI KUYALINDA MAZINGIRA.

    June 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa