• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Wakuu wa wilaya watakiwa kuunda Kamati

Posted on: October 31st, 2018

Mkuu  wa Mkoa wa Lindi,Godfrey Zambi amewataka wakuu wa Wilaya zinazounda Mkoa huo kuunda Kamati za kutatua na kushughulikia migogoro ya wafugaji na wakulima katika Wilaya zao.

Zambi ametoa agizo hilo katika kijiji cha Nangurukuru Wilaya ya Kilwa alipokuwa akizungumza na wadau wa sekta ya mifugo waliopo mkoani humo ikiwa ni mkakati wa kumaliza migogoro baina ya wakulima na wafugaji.

Mkuu huyo wa mkoa aliwataka wakuu hao wa wilaya kuunda kamati za kudumu zitakazo wajumuisha wataalamu wa halmashauri, vyombo vya ulinzi na usalama na wakuu wa wilaya ambao wataratibu na kusimamia utendaji wake ambazo zitakuwa zinashugulikia na kutatua migogoro na wakulima.Huku akizitaka kamati zitakazo undwa kumpelekea taarifa kila baada ya miezi mitatu.

Zambi amezitaka kamati hizo kumpelekea taarifa kila baada ya miezi mitatu,alisema amelazimika kutoa agizo hilo ili kila wilaya ishugulikie na kutatua migogoro na changamoto nyingine baina ya makundi hayo mawili ya kijamii.Huku akiweka wazi kwamba hatarajii kusiikia tena migogoro.Kwani kila itakapotokea itashugulikiwa haraka.

Alisema kamati hizo zishirikiane kwa karibu na viongozi wa serikali za vijiji ili kurahisisha upatikanaji wa taarifa sahihi zitakozowezesha kushughulikia kikamilifu migogoro na changamoto nyingine ili mkoa uendelee kuwa na amani na utulivu.

Katika kuhakikisha kamati hizo hazikwami katika utendaji wake,amewataka wakurugenzi wa Halmashauri kuziwezesha usafiri ili ziweze kufika katika maeneo ambayo zitakiwa kwenda nakutekeleza majukumu yake.Lakini pia uwezeshaji huo usingize na malipo ya posho.Bali usafiri,hasa mafuta.

Amezitaka zihakikishe wakulima wanalima kwenye maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya kilimo.Hali kadhalika wafugaji wafugie kwenye maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya ufugaji.Akiitaka pia ihakikishe wakulima hawazuii na kuziba njia zinazotumiwa na wafugaji kwenda kunywesha mifugo yao mitoni.

Aidha mkuu huyo wa mkoa ameziagiza halmashauri zote zihakikishe zinasimamia na kutekeleza kikamilifu mpango wa matumizi bora ya ardhi katika kila kijiji.Hata kama halmashauri nyingine hazina wafugaji.Kwani lengo nikila kijiji kiwe kimefanya mpango wa matumizi bora ya ardhi.

Katika hali iliyoonesha mkuu huyo wa mkoa ameamua kumaliza kabisa migogoro mkoani humu.Amewaonya vingozi na watendaji wa vijiji kwamba yeyote atayebainika kuingiza mifugo kinyemela(Bila kufuata sheria),atapoteza kazi na kuondolewa kwenye uongozi.

"Upo mtindo wa wafugaji kuwafuta wenzao,waambie wenzenu(wafugaji) wanaotaka kuja huku wasije kwanza hadi tuhakiki idadi ya mifugo iliyopo na mahitaji halisi.Mfugaji atayeingiza mifugo kinyemela atarudishwa alikotoka.Viongozi na watendaji wa vijiji watakao bainika walishiriki mchezo huo tutawaondoa madarakani," alisisitiza Zambi.

Katika kukabiliana na changamoto ya miundombinu,Zambi alitoa wito kwa wafugaji kusaidiana na serikali kujenga msjosho na maranbo.Kwani miongoni mwa mambo yanayosababisha migogoro ni tatizo la maji.Hasa kipindi cha kiangazi.

Kikao hicho kilichowashirikisha wakuu wawilaya,maofisa mifugo,wanyeviti na wakurugenzi wa halmashauri,maofisa ardhi,wafugaji na wakulima na wataalamu na maofisa wa ofisi ya mkuu wa mkoa kilimalizika na kutoa maazimio 14 ambayo yanatakiwabkufanyiwa kazi.

Miongoni mwa maazimio hayo ni wafugaji waanzishe uongozi kuanzia ngazi ya kijiji hadi mkoa,kuanzishwa ushirika wa wafugaji,mkoa kuwa na vituo vya ukaguzi wa mifugo inayoingia mkoani humu,halmashauri kujenga machinjio ya kisasa na minada na kuboresha iliyopo.

Mkoa wa Lindi nimiongoni mwa mikoa iliyppokea wafugaji kutoka mkoa wa Mbeya mwaka 2006.Hadi sasa niwilaya halmashauri za Ruangawa na manispaa ya Lindi pekee ndizo hazijapokea wafugaji.Hata hivyo kumekuwa kukitokea migogro michache na midogo baina ya wakulima na wmafugaji.Hasa miaka ya mwanzo wakati wafugaji wanaingia mkoani humu.

Chanzo:Muungwana Blogu

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BANDARI YA UVUVI KILWA KUKAMILIKA MWEZI JUNI 2025

    May 08, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI

    May 07, 2025
  • KILWA YAPIGA HATUA KATIKA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

    May 06, 2025
  • WANANCHI, WANAFUNZI NA WATUMISHI KILWA WAJITOKEZA KWA MAZOEZI YA PAMOJA UWANJA WA MWENGE/TAIFA

    May 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa