• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

VITALU VYA MALISHO KUWA SULUHISHO LA MIGOGORO YA ARDHI KILWA

Posted on: March 5th, 2025

Mkuu wa Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Wilayani Kilwa Ndg. Shija Lyella amewataka wafugaji wilayani Kilwa kutengeneza uhusiano mzuri na jamii wanazoishi nazo ili kuzuia kutokea kwa migogoro wakati wa uanzishaji wa vitalu vya malisho ili kuweza kufikia dhima ya uanzishaji wa vitalu hivyo.

Ameyaeleza hayo leo tarehe 05/03/2025 katika Ukumbi wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi (FDC) Kilwa wakati wa kikao baina Wataalamu kutoka Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Chama cha Wafugaji na Viongozi wa wafugaji wa kutoka kila kata, ambapo wamejadili juu ya mpango wa kuanzisha vitalu vya malisho vitakavyosaidia katika shughuli za ufugaji na kupunguza migogoro ya ardhi inayojitokeza katika jamii.

Akitoa elimu kuhusiana na matumizi na utunzaji wa vitalu hivyo Afisa Mifugo Ndg. Stanford Mwamlima amesema kuwa mbali na faida ya kuondoa migogoro ya ardhi kupitia ugawaji wa vitalu pia mpango huo utasaidia wafugaji kumiliki ardhi zao na kupunguza changamoto ya kuhamahama, kuimarisha mahusiano mazuri baina ya wafugaji na wamiliki weingine wa ardhi na uboreshaji wa masoko ya mifugo kwa wafugaji hao.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Chama Cha Wafugaji Kanda ya Kusini Ndg. Rashidi Kalele kwa niaba ya wafugaji ameipongeza Halmashauri kwa hatua hiyo ambayo itaenda kusaidia kuondoa migorogoro ya ardhi katika jamii. Pia amewataka wajumbe wa kikao hicho kwenda kuwaeleza wananchi juu ya umuhimu wa mpango huo.

Ikumbukwe Zoezi hili linafuata baada ya Halmashauri ya Wilaya ya kilwa kuandaa wataalamu waliopatiwa mafunzo katika Wilaya ya Kibiti juu ya uendeshaji wa ranchi za mifugo.     

  

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BANDARI YA UVUVI KILWA KUKAMILIKA MWEZI JUNI 2025

    May 08, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI

    May 07, 2025
  • KILWA YAPIGA HATUA KATIKA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

    May 06, 2025
  • WANANCHI, WANAFUNZI NA WATUMISHI KILWA WAJITOKEZA KWA MAZOEZI YA PAMOJA UWANJA WA MWENGE/TAIFA

    May 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa