• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

"Tunzeni utamaduni kwa maendeleo" - Dkt mwakyembe

Posted on: October 25th, 2018

 Wananchi wa Mkoa wa Lindi wametakiwa  kutumia dhana ya utamaduni  ili kujikwamua kiuchumi na kuleta maendeleo.

Wito huo umetolewa na Waziri wa  Habari, Sanaa, utamaduni na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe  alipokuwa akifungua Tamasha la utamaduni la Watu wa Mkoa wa Lindi linalofanyika katika Kijiji cha Makumbusho Jijini Dar es salaam Oktoba 25 mwaka huu.

Mheshimiwa Mwakyembe amesisitiza wananchi wa Lindi kujishughulisha na masuala ya utamaduni  kama vile kuhifadhi na kutunza maeneo ya kihistoria yatakayowavutia watalii kutoka maeneo mbalimbali.

“Kwa kupitia utamaduni mtaweza kujikwamua kiuchumi amueni kufanya utamaduni kuwa ni chanzo cha kuleta maendeleo, pia nawapongeza kwa nia ya dhati kabisa na ninawasaa jamii nyingine kuinga mfano wa wanalindi katika kuenzi utamaduni” alisema Mwakyembe

Mwakyembe amesema  kuwa Wizara ya Habari,Sanaa,utamaduni na Michezo itaendelea kuunga mkono wadau wanaoshughulika na kazi ya kulinda na kutunza utamaduni wa taifa na kusema kuwa taifa bila utamaduni ni sawa na taifa mfu.

“Suala la kutunza na kuendeleza utamaduni si suala la Serikali tu ni wajibu wajibu wa kila mwananchi  kufanya hivyo hivyo tusaidiane kuendeleza na kukuza tamaduni zetu” alisisistiza Mwakyembe.

Aidha Waziri Mwakyembe amepongeza uongozi wa Mkoa wa Lindi kwa dhamira njema ya kufanya tamasha la utamaduni na kuendeleza michezo. Pia Waziri Mwakyembe ameipongeza Wilaya ya Ruangwa kwa kujenga Uwanja wa Mpira wa Miguu  wa Majaliwa Stadium uliopo Wilayani humo.

Tamasha  la utamaduni wa Mtanzania mwaka 2018 limeshirikisha Jamii za Watu  wa Mkoa wa Lindi ambapo kila Wilaya inayounda Mkoa wa Lindi inaonyesha Mila na Desturi  zake.

Tamasha  la utamaduni la Mkoa wa Lindi Linafanyika kwa siku nne kuanzia Oktoba 25 hadi Oktoba 28 katika Viunga vya Kijiji cha Makumbusho , Kijitonyama  Jijini Dar es salaam huku kauli mbiu yake ikiwa ni "Lindi utamaduni wetu, Urithi wetu kwa maendeleo".


Chanzo - www.ruangwadc.go.tz

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAKALA APONGEZA JITIHADA ZA KURUDISHA MAWASILIANO SOMANGA

    April 10, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Mkono wa Eid kwa watoto wenye mahitaji Maalum Shule ya Msingi Mtanga Wilayani Kilwa.

    March 31, 2025
  • IDARA YA MAENDELEO YA JAMII YATOA MSAADA WA TELEVISHENI KWA GEREZA LA KILWA MASOKO

    April 28, 2025
  • MARAFIKI WA ELIMU WAWASILISHA TAARIFA YA UFUATILIAJI WA MAKUZI YA AWALI YA MTOTO KWA WADAU WA ELIMU KILWA.

    April 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa