• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

MKUU WA WILAYA KILWA AWATAKA WATENDAJI WA KATA KUSIMAMIA AFUA ZA LISHE KWA WATOTO MASHULENI.

Posted on: October 23rd, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Mohamed Nyundo amewataka Maafisa Watendaji Ngazi za Kata kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kusimamia swala la lishe katika kata na vijiji wanavyofanyia kazi. Hayo ameyasema wakati wa kikao cha Tathmini ya Mkataba wa Lishe Ngazi ya kata na Vijiji kilichofanyika katika ukumbi wa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya kilwa tarehe 23/10/2024.

Katika utekelezaji wa hatua hiyo Mhe. Nyundo amewaagiza Watendaji hao kutoa elimu ya lishe kwa Madiwani na Wenyeviti wa Vijiji ili kuhakikisha wanaelewa umuhimu wa lishe kwa watoto mashuleni na jamii wanayoongoza. Pia amewaagiza watendaji hao kuhakikisha wanajipanga vizuri kutoa elimu ya lishe kwa wananchi kupitia mikutano au matukio mbalimbali ya kijamii ili kuwahamasisha wazazi kuchangia kiasi cha fedha ili kuwawezesha wanafunzi kupata chakula wawapo mashuleni.  “ukienda kanisani sema, ukienda msikitini sema, ukienda kwenye tukio la michezo sema”

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Wilaya Ndg. Ernest Shirima amesema Halmashauri kupitia Idara ya Afya, Elimu na Idara Nyingine Mtambuka inajipanga kuja na mkakati mzuri utakaotumika kuhakikisha inaboresha na kusimamia suala la lishe mashuleni.

Aidha Mhe. Nyundo ameipongeza Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kilwa kwa kutoa kiwango stahiki cha fedha  kwa ajili ya utekelezaji wa afua za lishe.Pia ametoa wito kwa ofisi hiyo kuendelea kutoa fedha  kwa kuzingatia umuhimu wa lishe kwa watoto mashuleni na jamii kwa ujumla.

Katika kuitimisha kikao hicho Mhe. Nyundo ameweka msisitizo kwa kuendelea kufanya juhudi za kumaliza changamoto ya mlipuko wa kipindupindu, ambapo amemuelekeza Mkurugenzi Mtendaji kupita Ofisi ya Mganga Mkuu kutoa elimu kwa watendaji juu ya choo bora na kuhakikisha elimu hiyo inawafikia wananchi wote.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BANDARI YA UVUVI KILWA KUKAMILIKA MWEZI JUNI 2025

    May 08, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI

    May 07, 2025
  • KILWA YAPIGA HATUA KATIKA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

    May 06, 2025
  • WANANCHI, WANAFUNZI NA WATUMISHI KILWA WAJITOKEZA KWA MAZOEZI YA PAMOJA UWANJA WA MWENGE/TAIFA

    May 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa