• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

shilingi milioni 130 kuanza ujenzi wa madarasa kidato cha kwanza 2020-kilwa

Posted on: December 10th, 2019


Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa imetenga kiasi cha shilingi milioni 130 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa vyumba vya madarasa ya kidato kwanza 2020.

Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Ndg Renatus Mchau alipokutana na watendaji wa kata zenye shule za sekondari zenye uhaba wa vyumba vya madarasa 2020.Akitoa taarifa hiyo ,ndg Mchau alieza kuwa Ofisi yake imepokea taarifa inayoonesha uwepo wa upungufu wa madarasa 20 katika shule 11 kati ya shule 26 za Wilaya ya Kilwa.

Mkurugenzi alitoa taarifa kuwa kwa kuanza ofisi yake imetenga jumla ya shilingi milioni 130 ambapo mgawanyo wake ni shilingi milioni sita na laki saba (6,700,000) kwa kila darasa katika shule hizo 11.

Akitoa mchanganuo wa shule zenye upungufu wa madarasa, Kaimu Afisa Elimu Sekondari Mwl.Bujiku Sakila alizitaja shule zenye  upungufu wa chumba kimoja kila shule kuwa ni ;Alli Mchumo,Kibata, Nakiu na Kikanda, Pia alieleza kuwa shule zenye upungufu wa madarasa mawili kila moja ni; Kipatimu, Kiranjeranje,Kivinje, Mpunyule na Mingumbi huku shule ya sekondari ya Mtanga iliopo kata ya Masoko ikiwa na upungufu wa madarasa matatu.

Katika kikao hicho ,watendaji wa kata zenye uhaba wa madarasa walieleza hatua mbali mbali walizotumia katika kukabiliana na upungufu huo ambapo baadhi ya watendaji walikuwa kwenye hatua ya upauaji wa majengo huku wengine wakisubiri msimu wa mvua kupungua ili kuweza kuweza kuanza ujenzi kutokana na mapato ya ndani ya kata zao na michango toka kwa wananchi na wadau wa maendeleo katika maeneo yao.

Upungufu huu umetokana na ufaulu wa asilimia 72 ya wanafunzi wote waliomaliza darasa la saba mwaka 2019 ambapo jumla ya wanafunzi 3065 walifaulu kujiunga na elimu ya sekondari 2020 kati yao wanafunzi 963 walikosa nafasi kutokana na upungufu wa vyumba vya maradarasa.

Mwl.Bujiku alieleza kuwa kwa mwaka 2019 wanafunzi waliomaliza kidato cha nne ni wanafunzi 1240 hali iliyopelekea kutokuwa na uwiano sawa kati ya idadi ya wanafunzi wanaomaliza na wanatakiwa kujiunga kidato cha kwanza 2020.

Mkurugenzi aliwataka watendaji na waratibu elimu kata kuhakikisha kuwa hakuna mwanafunzi atakayekosa shule kwa visingizio vya ukosefu wa madarasa katika kata zao pia aliwasisitiza kuzingatia sharia za ununuzi na ujenzi ili kuwezesha kupatikana majengo bora.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BANDARI YA UVUVI KILWA KUKAMILIKA MWEZI JUNI 2025

    May 08, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI

    May 07, 2025
  • KILWA YAPIGA HATUA KATIKA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

    May 06, 2025
  • WANANCHI, WANAFUNZI NA WATUMISHI KILWA WAJITOKEZA KWA MAZOEZI YA PAMOJA UWANJA WA MWENGE/TAIFA

    May 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa