• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Mbaroni kwa tuhuma za uvuvi haramu

Posted on: August 29th, 2018

Watu wanne wamekamatwa katika bahari ya Hindi wilayani Kilwa mkoani Lindi kwakukutwa wakivua jongoo wa bahari na kamba kochi kwa kutumia Dhana haramu za uvuvi.

Akieleza tukio hilo ofisa uvuvi wa wilaya ya Kilwa,Kengela Mashimba .Alisema watu hao walikamtwa juzi saa nane mchana karibu na kisiwa cha Simaya,kilichopo katika bahari ya Hindi.

Mashimba alisema watu hao ambao wawili kati yao hawakuwa na leseni ya uvuvi walikutwa na mashine iliyokuwa inawapa hewa ya oksijeni nakuwafanya wamudu kukaa chini ya maji kwa takribani saa sita huku wakikusanya jongoo na kamba kochi wakubwa na wadogo.Kwani walikuwa wanatumia nyavu zenye matundu madogo ambazo zimekazwa kisheria kutumika kuvulia.

Alisema watu hao ambao walikutwa wakiendelea kukusanya jongoo na kamba kochi wadogo ambao nimiongoni mwa rasimali za baharini ambazo zimekatazwa kuvuliwa.Akiweka wazi kwamba kitendo hicho kimezuiwa na sheria ya uvuvi namba 22 ya mwaka 2003 ambayo kanuni zake zilianza kutumika mwaka 2009.


"Tuliwakuta na Saratoga (compressor) ambayo ilikuwa inawapatia hewa wakiwa baharini.Jongoo bahari hawana kasi ya kutembea.Kwahiyo walikuwa wanauwezo wakusanya kirahisi.Lakini wawili kati yao hawakuwa na leseni za uvivu.Kibaya zaidi walikuwa wanatumia nyavu zenye matundu madogo ili wazoe kila saizi,"alisema Mashimba.

Ofisa uvuvi huyo ambaye hakutaka kuweka wazi majina ya waliokamatwa wala chombo cha usafiri na namba zake za usajili alisema licha ya watu hao wanne,lakini pia mmiliki wa chombo kilichokuwa kinatumiwa na wavuvi hao haramu amekamatwa.

"Siwezi kutaja majina wala namba za usajili wa chombo hicho kwasababu tukio limetokea juzi inawezekana wameshafikishwa mahakamani.Kwahiyo sipendi kuingilia mwenendo wa kesi iliyopo mahakamani," alisema kwa tahadhari.

Mashimba alitoa wito kwa wananchi kuendelea kutoa ushirikiano na vikundi vya ulinzi shirikishi vya ulinzi wa rasilimali za baharini na pwani(BMU)na maofisa wa idara ya uvuvi.Kwani hata kukamatwa kwa watu hao kulifanywa na maofisa wa idara ya uvuvi na walinzi hao baada ya kupata taarifa kwa raia wema.

Akitoa maoni yake kuhusu tukio hilo,mkuu wa wilaya ya Kilwa,ambae pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya wilaya hiyo,Christopher Ngubiagai licha ya kuwapongeza maofisa uvuvi na walinzi shirikishi hao.Alisema doria na misako dhidi ya wavuvi wasiozingatia sheria ni endelevu.Huku akitoa wito kwa wavuvi kuanza kufikiria kufuga samaki badala ya kung'ang'ania kuvua baharini kwakutumia zana haramu za kuvulia.

Ngubiagai alitoa wito kwa wanasiasa waliopo wilayani humo washiriki kikamilifu katika mapambano yakukomesha uvuvi haramu.Huku akiweka wazi kwamba baadhi yao ni kikwazo katika mapambano hayo.

Kwamujibu wa mkuu huyo wa wilaya misako na doria hizo zimesababisha uvuvi haramu kupungua na upatikanaji wa samaki unaongezeka kwa kasi wilauani humo.

NEWS CREDIT: MUUNGWANA BLOG


Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WANAWAKE KATA YA TINGI WAANDAA DUA MAALUM KUMUOMBEA MHE. RAIS SAMIA

    June 08, 2025
  • DC KILWA AITAKA JAMII KUDHIBITI UTUMIAJI WA PLASTIKI ILI KUYALINDA MAZINGIRA.

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAKIMBIZWA KILOMETA 173 NA KUTEMBELEA MIRADI 13 YENYE THAMANI YA TSH BILIONI 11 WILAYANI KILWA.

    May 31, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI ZAHANATI YA NJINJO KILWA.

    May 31, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa