• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

KILWA YATENGA MILIONI 260 ZA MAPATO YA NDANI KWA AJILI YA UJENZI WA MADARASA KUPOKEA WANAFUNZI WALIOKOSA NAFASI KUTOKANA NA UKOSEFU WA VYUMBA 2020

Posted on: January 7th, 2020


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa Ndg Renatus Mchau leo ameungana na wananchi, wakuu wa idara, wataalam na viongozi wa Mamlaka ya Mji mdogo wa Masoko katika ujenzi wa shule mpya sekondari katika Kata ya Masoko.

Ujenzi huo ni sehemu ya ujenzi wa madarasa 20 katika shule za 11  zenye upungufu wa madarasa kwa wanafunzi ambao wameanza kupokelewa kuanzia tarehe 06, Januari mwaka huu. Upungufu huu wa madarasa umetokana la ufaulu wa wanafunzi kuongezeka ukilinganisha na maoteo ya awali ambapo jumla ya vyumba vinavyohitajika ni 65 ikiwa Halmashauri kwa kushirikiana na wananchi walikua wamekamilisha ujenzi wa vyumba 45 vilivyotokana na maoteo ya ufaulu na kupelekea kuwa na upungufu wa vyumba hivyo 20. Kulingana na Mpango kazi wa Halmashauri vyumba hivi 20 vitakua vimekamilika ifikapo tarehe 15,Februari 2020

 Mkurugenzi ameeleza kuwa mpaka sasa Ofisi yake imeshatoa shilingi milioni 260 kwa shule zote kuongezea nguvu kazi na michango mbalimbali inayotolewa na wananchi  ambapo  kwa sasa ujenzi upo katika hatua mbali mbali na kuleleza kuwa hakuna mwanafunzi hata mmoja atakayekosa masomo kutokana na uhaba wa madarasa.

Mkurugenzi huyo amezitaja shule hizo kuwa ni ;Alli Mchumo,Kibata, Nakiu na Kikanda zenye upungufu wa darasa moja moja, Pia alieleza kuwa shule zenye upungufu wa madarasa mawili kila moja ni; Kipatimu, Kiranjeranje,Kivinje, Mpunyule na Mingumbi huku shule ya sekondari ya Mtanga iliopo kata ya Masoko ikiwa na upungufu wa madarasa matatu.

Aidha Bwana Mchau ametumia nafasi hiyo kutoa wito kwa wazazi wote kuwapeleka watoto wao kwenye shule walizochaguliwa bila kusubiri jambo lolote kwani maandilizi yote ya kuwapokea yamekamilika na hakuna kusubiri kwa kuwa maelekezo ya Serikali ni wanafunzi wote kuanza masomo mara moja kuanzia tarehe 06/01/2020 kama ilivyoelekezwa na Mhe. Waziri Mkuu. Aidha amewataka kuendelea kushirikiana na Serikali katika kuchangia utekelezaji wa miradi hiyo ya ujenzi wa madarasa na miradi mingine ili kuharakisha maendeleo ya Kilwa na Taifa kwa ujumla

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BANDARI YA UVUVI KILWA KUKAMILIKA MWEZI JUNI 2025

    May 08, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI

    May 07, 2025
  • KILWA YAPIGA HATUA KATIKA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

    May 06, 2025
  • WANANCHI, WANAFUNZI NA WATUMISHI KILWA WAJITOKEZA KWA MAZOEZI YA PAMOJA UWANJA WA MWENGE/TAIFA

    May 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa