• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Kaya zaidi ya 10,000 zajiunga na mfuko wa afya ya jamii kilwa

Posted on: August 31st, 2018

 

 


 Kilwa.


KUFUATIA uhamasishaji unaoendelea kufanywa na idara ya afya kwa kushirikiana na ofisi ya mkuu wa wilaya ya Kilwa mkoani Lindi, kaya 10113 zimejiunga na mfuko wa afya ya jamii (CHF) wilayani humu.

Hayo ymeibainishwa jana kijijini Mtende, kata ya Kibata, tarafa ya Kipatimu na mratibu wa CHF wilaya ya Kilwa, Fred Mpondachuma alipozungumza na wananchi wa kijiji hicho katika uhamasishaji wa kujiunga na mfuko huo wa matibabu.

Mpondachuma alibainisha kwamba idadi hiyo ya kaya zilizofikiwa zimesababisha kufikiwa wanufaika (watu) 62,000 waishio wilayani humu.Huku akiweka wazi kwamba zoezi la uhamasishaji unaoendelea umelenga kufikia vijiji 15 kati ya 90 vilivyopo wilayani humu kwa awamu hii.

 


"Lengo letu nikupata kaya 1000 kila wiki, jana na juzi pekee kaya 112 zilijiunga. ambapo Nanjirinji pekee zilijiunga kaya 56,"alisema Mpondachuma.

Aidha Mpondachuma alitoa wito kwa watumishi wa idara ya afya wanaopangiwa kwenda kufanya kazi kwenye zahanati na vituo vya afya vilivyo mbali na miji na barabara kuu waridhike kwenda nakufanya kazi kwa moyo.Kwani mikataba ya ajira zao zinawataka wakafanye kazi popote ndani ya nchi hii.

Mbali na hayo aliwaondoa hofu wananchi wilayani humo kuhusu huduma za afya zinazotolewa katika zahanati,vituo vya afya na hospitali kwani serikali imeboresha huduma hizo ikiwamo upatikanaji wa dawa na vifaa tiba.

Aliwaasa wananchi kutumia masanduku ya maoni yaliyopo kwenye maeneo ya kutolea huduma za afya kueleza kero na utoaji huduma za matibau zinazotolewa katika maeneo hayo.Kwani kamati zilizopo kwenye vituo vya afya na zahanati zinaundwa na wananchi wenyewe.Kwasababu kati ya wajumbe nane,mtumishi wa idara ya afya ni mmoja tu.

Mratibu huyo aliwakumbusha na kuwahimiza wananchi kutunza na kulinda miundombinu ya zahanati,vituo vya afya ili iweze kuduma.Kwani fedha zinazotumika kufanyia ukarabati wa mara kwa mara zitaweza kutumika kununulia vifaa tiba na dawa.

Kwaupande wake mkuu wa wilaya hiyo, Christopher Ngubiagai licha ya kuwaasa wananchi kujiunga na mfuko huo. aliishukuru serikali kwa kuwapelekea watumishi 104 wa sekta ya afya hali ambayo itapunguza upungufu wa watumishi kwenye zahanati na vituo vya afya.

Ngubiagai pia ametoa wito kwa halmashauri ya wilaya hiyo kupitia idara yake ya afya ihakikishe watumishi hao wanagawanywa kwa uwiano sawa ili kuondoa dhana kuwa watumishi wengi wanabaki mijini.Hali ambayo inasababisha malalamiko na manung'uniko kutoka kwa wananchi ambao zahanati na vituo vyao vya afya vipo mbali na miji.

Wiaya ya Kilwa nimiongoni mwa wilaya za mkoa wa Lindi ambazo zimepokea fedha kwa ajili ya ukarabati wa vituo vyake vya afya.Kwamujibu wa Ngubiagai hadi sasa wilaya hiyo imepokea takribani shilingi 1.8 bilioni.Kwaajili ya ukarabati wa vituo vya Tingi,Masoko,Nanjirinji na Pande

Credit - Muungwana Blog

 


 

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAKALA APONGEZA JITIHADA ZA KURUDISHA MAWASILIANO SOMANGA

    April 10, 2025
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Mkono wa Eid kwa watoto wenye mahitaji Maalum Shule ya Msingi Mtanga Wilayani Kilwa.

    March 31, 2025
  • IDARA YA MAENDELEO YA JAMII YATOA MSAADA WA TELEVISHENI KWA GEREZA LA KILWA MASOKO

    April 28, 2025
  • MARAFIKI WA ELIMU WAWASILISHA TAARIFA YA UFUATILIAJI WA MAKUZI YA AWALI YA MTOTO KWA WADAU WA ELIMU KILWA.

    April 28, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa