• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Katibu Tawala(RAS) Mkoa wa Lindi Zuwena Omary amefanya ziara ya kutembelea na kukagua ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa Wilayani Kilwa

Posted on: October 10th, 2023

Katibu Tawala(RAS) Mkoa wa Lindi Zuwena Omary amefanya ziara ya kutembelea na kukagua ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa Wilayani Kilwa


Katika ziara hiyo ambapo RAS ameambatana na Katibu Tawala (DAS) wa wilaya ya Kilwa, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo pamoja na baadhi ya wakuu wa idara wa Halmashauri wamekagua miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa Jengo la Halmashauri(Lingaula) ujenzi wa Madarasa,Mabweni na Nyumba za kuishi waalimu katika shule za Sekondari Mavuji,Somanga,Namatungutungu,Kilwa,Ilulu na Ngome


Zuwena amefanya ziara hiyo kwa lengo la kutambua changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika zoezi la ukamilishaji wa mradi huo pamoja na kutathmini thamani ya majengo kulingana na fedha iliyotolewa na Serikali


Pia Zuwena amesema kuwa miradi hiyo imeletwa kwa ajili ya kuwanufaisha Wananchi na si kwa manufaa ya Viongozi,Hivyo amewataka Watendaji wa Halmashauri hiyo kuhakikisha wanasimamia kwa ufasaha miradi hiyo.



Aidha, RAS amewataka Wakandarasi waliopewa tenda ya miradi hiyo kukamilisha kwa haraka iwezekanavyo kwani ucheleweshaji wa miradi hiyo ni dhulma kwa watumiaji hususaji Wanafunzi wanaotakiwa kutumia majengo hayo


Kwa kumalizia amewapongeza Wakandarasi pamoja na Viongozi kwa jitihada wanazozifanya katika kusimamia ujenzi wa miradi hiyo, Pia amewasihi kushirikiana na Wananchi katika hatua zote za ujenzi kuwa miradi hiyo imetolewa na Rais kwa ajili ya maendeleo ya Wananchi wake.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BANDARI YA UVUVI KILWA KUKAMILIKA MWEZI JUNI 2025

    May 08, 2025
  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAIPONGEZA KILWA KWA UTEKELEZAJI WA ILANI

    May 07, 2025
  • KILWA YAPIGA HATUA KATIKA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

    May 06, 2025
  • WANANCHI, WANAFUNZI NA WATUMISHI KILWA WAJITOKEZA KWA MAZOEZI YA PAMOJA UWANJA WA MWENGE/TAIFA

    May 03, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa