• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

DED KILWA AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA WATAALAMU WA MIFUGO KWAAJILI YA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO

Posted on: September 18th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Ndg. Hemed Magaro amekabidhi jumla ya vishikwambi 53 vilivyotolewa na Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi, kwa ajili ya wataalamu wa mifugo wa wilaya hiyo.


Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo yaliyofanyika tarehe 18 Septemba 2025 katika Ofisi za Halmashauri ya Kilwa, Ndg. Magaro amesema ugawaji wa vifaa hivyo ni hatua muhimu ya kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya sekta ya mifugo, hususan katika uratibu wa chanjo na utambuzi wa mifugo, ukusanyaji na utumaji wa taarifa pamoja na kuimarisha matumizi ya TEHAMA.


Kwa upande wake, Dr. Nyalekwa Mashimo, Mratibu wa Kampeni ya Chanjo na Utambuzi wa Mifugo Wilaya ya Kilwa, ametowa shukrani kwa Serikali ya Awamu ya Sita na Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa msaada huo. Amesema vifaa hivyo vitachochea maboresho ya huduma kwa wafugaji na kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya wataalamu wa mifugo kuanzia ngazi ya kata hadi vijiji.


Aidha, Ndg. Magaro amesema mapokezi na mgao wa vifaa hivyo ni kielelezo cha dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita katika kuimarisha huduma za mifugo, kuboresha takwimu pamoja na kusaidia kufanya maamuzi ya kisera na mipango ya maendeleo ya sekta ya mifugo nchini.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI AJIRA MPYA KILWA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI

    September 22, 2025
  • CRDB KILWA YAKABIDHI MEZA NA VITI SHULE YA SEKONDARI MAVUJI

    September 20, 2025
  • KILWA YAADHIMISHA SIKU YA USAFISHAJI WA MAZINGIRA DUNIANI KWA KAMPENI YA USAFI WA PAMOJA

    September 20, 2025
  • MAAFISA BAJETI KILWA WAPIGWA MSASA KUIMARISHA UANDAAJI BORA WA BAJETI

    September 19, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa