• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

DC KILWA AZINDUA STENDI KUU YA MABASI NANGURUKURU.

Posted on: July 21st, 2025

Katika kuimarisha huduma za usafiri na usafirishaji ndani ya Wilaya ya Kilwa, Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mhe. Mohamed Nyundo, Tarehe 21 Julai 2025 amezindua rasmi Stendi Kuu ya Mabasi iliyopo katika eneo la Nangurukuru, Kata ya Kivinje Wilayani Kilwa, huku akiwataka wananchi kutumia fursa za kiuchumi zitazopatikana kupitia stendi hiyo.


Ujenzi wa stendi hiyo unatekelezwa kwa awamu ambapo katika mwaka wa fedha 2024/2025, Halmashauri ilitenga kiasi cha Shilingi 72,416,659/= kwa ajili ya kukamilisha hatua za awali, ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya msingi inayowezesha stendi kuanza kutoa huduma kwa kiwango cha awali.


Pamoja na hatua hiyo, Halmashauri tayari imeanza mkakati wa kuendeleza stendi hiyo kuwa ya kisasa zaidi kwa kuwasilisha maombi maalum ya fedha Serikali Kuu.


Eneo la stendi lina ukubwa wa ekari 8, huku ekari 6 zikiwa tayari zimeendelezwa kwa matumizi ya awali ambapo Miongoni mwa kazi zilizotekelezwa ni pamoja na ujenzi wa barabara za ndani, uwekaji wa taa za sola, ujenzi wa mifereji ya maji ya mvua, pamoja na maandalizi ya maeneo ya maegesho ya vyombo vya usafirishaji vitakavyoingia katika stendi hiyo.


Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa tayari imekamilisha taratibu zote muhimu kwa kushirikiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) pamoja na Jeshi la Polisi na Usalama Barabarani, ili kuhakikisha kunakuwa na usalama kwa wananchi katika huduma za usafiri na usafirishaji.


Akiwasilisha Taarifa hiyo Ndg, Peter Ngoti, ameishuruku Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kutoa dira na miongozo inayowezesha Halmashauri kutekeleza miradi yenye tija kwa wananchi.


Kwa upande wao wananchi waliohudhuria hafla hiyo wameonesha furaja yao kwa kupatikana stendi hiyo, huku wakiishukuru serikali kwa kuwaondolea adha ya upatikani wa eneo maalumu kwaajili ya upatikanaji wa huduma bora za usafiri na usafirishaji.


Mradi huu unatarajiwa kuwa kichocheo cha maendeleo ya kiuchumi katika eneo hilo kwa kuongeza fursa za ajira, biashara ndogondogo, na mapato ya ndani ya Halmashauri kupitia Sekta ya usafirishaji.


Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. April 25, 2023
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DC KILWA AZINDUA STENDI KUU YA MABASI NANGURUKURU.

    July 21, 2025
  • KAMATI YA HUDUMA ZA MIKOPO KILWA YAFANYA KIKAO MAALUM KUHAKIKI VIKUNDI VYA WAOMBAJI MIKOPO.

    July 15, 2025
  • WAGANGA WAKUU WAMKABIDHI RAIS TUZO MAALUM — MHE. MPANGO ATOA MAELEKEZO YA KUIMARISHA SEKTA YA AFYA.

    July 12, 2025
  • KILWA YAPOKEA PIKIPIKI 11 KWA AJILI YA CHANJO NA HUDUMA MBALIMBALI ZA MIFUGO.

    July 11, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa