• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

DC KILWA AZINDUA MAGARI MAPYA MAWILI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA

Posted on: September 17th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mhe. Mohamed Abdallah Nyundo amezindua magari mawili mapya kati ya magari matatu yaliyonunuliwa ya Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa aina ya Toyota Hilux Double Cabin yenye namba za usajili SM 44152 na SM 44153. Magari hayo yamenunuliwa kwa fedha za mapato ya ndani ya Halmashauri ya mwaka wa fedha 2024/2025 kwa gharama ya Tsh. 447,583,373.55/=


Uzinduzi huo umefanyika tarehe 17 Septemba 2025 Katika Makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa ikiwa ni sehemu ya mkakati wa Halmashauri hiyo kuboresha vitendea kazi na kuongeza kasi ya utoaji wa huduma kwa wananchi.


Akizungumza katika hafla hiyo, Mhe. Nyundo amesema, ununuzi wa magari hayo ni kielelezo cha dhamira ya Serikali na Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora, haraka na kwa ufanisi katika maeneo yote ya wilaya.


Magari hayo mapya yanatarajiwa kurahisisha usafiri wa watumishi kufika hata katika maeneo ya mbali yenye changamoto za kijiografia, jambo litakaloongeza ufanisi katika usimamizi wa miradi ya maendeleo, utoaji wa huduma za kijamii, na ufuatiliaji wa shughuli mbalimbali za kimaendeleo.


Aidha, Halmashauri imepanga kuendelea kuongeza idadi ya vitendea kazi, ambapo katika mwaka wa fedha 2025/2026 imetenga shilingi 1,195,000,000 kwa ajili ya kununua magari matano zaidi; kati ya hayo, matatu kupitia mapato ya ndani na mawili kupitia ufadhili wa Serikali Kuu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILWA September 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 04, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI AJIRA MPYA KILWA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI

    September 22, 2025
  • CRDB KILWA YAKABIDHI MEZA NA VITI SHULE YA SEKONDARI MAVUJI

    September 20, 2025
  • KILWA YAADHIMISHA SIKU YA USAFISHAJI WA MAZINGIRA DUNIANI KWA KAMPENI YA USAFI WA PAMOJA

    September 20, 2025
  • MAAFISA BAJETI KILWA WAPIGWA MSASA KUIMARISHA UANDAAJI BORA WA BAJETI

    September 19, 2025
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • MIKOPO 10%
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: 0672365354

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa