• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

BILIONI 266 KUJENGA BANDARI YA UVUVI KILWA

Posted on: June 15th, 2022

Ili kukuza uchumi utokanao na uvuvi wa kisasa nchini, serikali imetenga Juma ya Shilingi bilioni 266.7 kwa ajili ya ujenzi wa Bandari ya uvuvi katika Wilaya ya Kilwa Mkoa wa Lindi.Akizungumza katika hafla ya kukabidhi mkataba na eneo la mradi kwa mkandarasi wa Mradi huo kutoka kampuni ya China Harbour Engineering Co.Ltd, Mkuu wa Mkoa wa Lindi Bi Zainab Telack amesema kwa mara ya kwanza serikali imetoa jumla ya Shilingi Bilioni 100 ikiwa ni ya gharama za ujenzi wa Bandari Hiyo. Mkuu wa Mkoa  amewataka wakazi wa kilwa kujiandaa kuupokea mradi ikiwa pamoja na kuwa tayari kupokea elimu itakayowasaidia kupata nafasi katika Bandari hiyo ya kisasa pindi utakapomalizika.Awali katibu mkuu wa wizara ya uvuvi na mifugo RASHID TAMATAMA amesema kuwa ujenzi huo unatarajiwa kukamilika ndani ya miaka 2 ambapo kwa kuanzia serikali tayari imetenga bajeti ya shilingi bilioni 100Aidha,TAMATAMA amesema kuwa  wanamini kwamba kama mkandarasi atatumia maarifa  weledi na teknolojia ujenzi wa bandari hiyo itakamilika kwa wakati kulingana na makubaliano ya mkataba aliousaini Juni 7 2022.#Kazi iendelee

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 04, 2022
  • TANGAZO LA KAZI September 03, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KILWA DC. September 23, 2021
  • Matokeo ya usaili wa mchujo kwa nafasi ya Mtendaji wa kijiji tarehe 30/09/2021 September 30, 2021
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • BILIONI 266 KUJENGA BANDARI YA UVUVI KILWA

    June 15, 2022
  • Tsh:Bilion 50 kuanza ujenzi wa bandari ya uvuvi kilwa

    May 27, 2022
  • NMB yatowa msaada wa vitu vyenye Thamani TSh. 25,700,000/= kwenye shule 5 kilwa.

    February 02, 2022
  • Milioni 250. kumaliza ujenzi wa majengo mawiliki kituo cha Afya

    January 01, 2022
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: +255 23 201 3241/65

    Simu: 0672581557

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa