• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Viwanda na Uwekezaji

Wilaya ya kilwa ina takribani hekata 14,212 ambazo zipo kwaajili ya kufanya uwekezaji wa viwanda vikubwa na viwanda vya kati. Kuna viwanda vidogo vidogo vinavyo zalisha bidhaa hasa samani za majumbani ambazo hutengenezwa kwa ujuzi mdogo na kwa teknolojia duni, pia kuna viwanda vidogo vya kukausha samaki ambavyo vipo eneo la Kivinje na Somanga, viwanda vidogo vya kutengeneza na kufunga chumvi ambavyo vipo katika maeneo ya mashamba ya chumvi yaliyopo Kilwa Masoko na maeneo ya Kata ya Tingi, Miteja na Somanga.

Hivyo Halmashari ya Wilaya ya Kilwa inawakaribisha wawekezaji kuja na kuwekeza katika Viwanda vya kati na vikubwa kwakuwa miundombinu iliyopo inaruhusu hasa upatikanaji wa umeme wa uhakika, barabara na rasilimali watu ambavyo ni muhimu katika uwekezaji wa viwanda, uwepo wa malighafi hasa za gasi ambayo ni muhimu kwa kutengeneza saruji, uwepo wa maji ya chumvi, uwepo wa madini ya Nitrous(vilipuzi), uwepo wa Samaki wengi na Dagaa wanaopatikana katika Bahari ya Hindi.

Wawekezaji wanakaribishwa kuja na kuwekeza katika Sekta ya Viwanda katika maeneo yafuatayo;

A. Viwanda vya Saruji

B. Kiwanda cha kuchimba na kuchakata Gesi

C. Viwanda vya kutengeneza vilipuzi

D. Viwanda vya kutengeneza na kufunga Chumvi

E. Viwanda vya Kuchakata Samaki

F. Kiwanda cha Mbolea

Matangazo

  • Orodha ya wasimamizi wa uchaguzi mdogo wa Madiwani kata ya Kivinje,Miteja,Somanga na Mitole November 26, 2018
  • Nafasi ya kazi boresha afya December 19, 2018
  • Fomu za maelezo ya kujiunga na kidato cha tano 2018 Kilwa sekondari & Ilulu sekondari June 20, 2018
  • Kliniki ya Kisukari na Shinikizo la Damu (Pressure) July 18, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Silinde apongeza ujenzi wa madarasa kilwa

    February 16, 2021
  • Msiwabambikie wananchi bili za Maji- Ngubiagai

    February 09, 2020
  • WAZIRI MKUU AWATAKA WANANCHI KUHAMA MAENEO YA MABONDENI KUEPUKA MAAFA

    February 05, 2020
  • Idadi ya waathirika yafikia elfu tisa Kilwa

    January 30, 2020
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: +255 23 201 3241/65

    Simu: 0713538141

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz /ictsupport@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa