• Malalamiko |
    • Anuani Zetu |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Kilwa District Council
Kilwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Mikakati ya Halmashauri
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Afya
      • Utumishi na Utawala
      • Elimu ya Msingi
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Maliasili
    • Vitengo
      • Usafi na Mazingira
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ugavi
      • TEHAMA
      • Nyuki
      • Biashara
      • TASAF
      • Lishe
      • Uvuvi
    • Miji Midogo
      • Masoko
      • Kivinje
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za Uwekezaji
    • Biashara na Viwanda
    • Madini
    • Uvuvi
    • Utalii
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Mikopo kina Mama na Vijana
    • Huduma za Maji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Itakayo tekelezwa
  • Machapisho
    • Muongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Mifumo
    • PlanRep
    • FFARS
    • Prem
    • Salary Slip Portal

Biashara



BIASHARA

Wananchi wa Wilaya ya KILWA kwa zaidi ya asilimia (60%) ni watu waliojiajiri kwenye sekta isiyorasmi.

Shughuli kubwa wanazofanya ni pamoja na usindikaji mdogo wa vyakula, utengenezaji wa bidhaa mbalimbali kama vile sabuni za kufulia, dawa za maji za kuoshea vyombo na sakafu, usukaji, uuzaji wa mazao ya kilimo uvuvi na ufugaji hasa kwenye masoko na magulio. Wapo baadhi ya wananchi ambao wameweza kurasimisha biashara zao na hivyo kuweza kuanzia viwanda vidogovidogo na vya kati na wachache viwanda vikubwa. Wilaya ya KILWA inayo zaidi ya viwanda vidogovidogo 1550 ambavyo vingi ni vya Useremala, usagaji wa nafaka, utengenezaji wa vyakula vya kuku, kuoka mikate, kutengeneza nguo hasa batiki n.k.

Changamoto kubwa iliyopo kwa sekta isiyo rasmi pamoja na wafanyabiashara wadogo wadogo ambao wamesharasimisha shughuli zao ni ubora wa bidhaa wanazotengeneza, ufungaji wa bidhaa, masoko, mtaji wa kuendeleza biashara zao, elimu ya biashara na usafiri.


Matangazo

  • NAFASI YA KAZI HOSPITALI YA WILAYA YA KILWA (KINYONGA) March 07, 2018
  • Uchunguzi wa awali wa saratani ya matiti, mlango wa kizazi ,kifua kikuu na magonjwa yasiyo ambukizwa March 20, 2018
  • harambee ya ujenzi Shule ya Sekondari Lindi April 02, 2018
  • sensa ya uvuvi March 19, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari.

    April 16, 2018
  • Aliyekua Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa afariki

    April 09, 2018
  • Utalii Kilwa ni zaidi ya Magofu

    March 31, 2018
  • Kilwa yang'aa matumizi ya tovuti

    March 24, 2018
  • Tazama Zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Akipokea Mwenge wa Uhuru.
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • TARURA GPN
  • Watumishi Portal
  • Mikopo ya Wanawake na Vijana
  • Huduma za Elimu

Tovuti Muhimu

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • Wizara ya Fedha
  • Wizara ya Elimu
  • Lindi

Idadi ya Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Anuani Zetu

    Kilwa Masoko

    Anuani ya Posta: 160

    Simu: +255 23 201 3241/65

    Simu: +255 713 130 862

    Barua pepe: ded@kilwadc.go.tz

Other Contacts

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Kanuni Binafsi
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa